Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: May 2025

  • Home
  • 2025
  • May
  • Page 220
Habari

Hiki ndio kitakachomaliza urasimu, migogoro ya ardhi Zanzibar

May 3, 2025 Admin

Unguja. Wakati Zanzibar ikizindua kwa mara ya kwanza kanuni za uhaulishaji wa ardhi, hatua hiyo inatajwa kusaidia kwa kiasi kikubwa kupunguza migogoro ya ardhi na

Read More
Habari

MAKALA KUFANYA ZIARA YA SIKU SITA MOROGORO

May 3, 2025 Admin

Farida Mangube, Morogoro Katibu wa Itikadi na uenezi Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa CPA Amos Makala anatarajia kufanya ziara ya siku Sita mkoani Morogoro ambapo

Read More
Habari

MSIPOTOSHWE MAGARI YA ZIMAMOTO YANA MAJI – NYABWINYO.

May 3, 2025 Admin

Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Ruvuma limewataka wananchi kupuuza uvumi kuwa magari ya zimamoto hufika kwenye matukio bila maji, na kusisitiza kuwa magari

Read More
Habari

Nyongeza hii ya mshahara, uthibitisho wa Rais Samia kuwajali wafanyakazi

May 3, 2025 Admin

Na: Dk. Reubeni Lumbagala. Kila ifikapo Tarehe 01 Mei ya kila mwaka, huadhimishwa Siku ya Wafanyakazi Duniani. Kila nchi huadhimisha siku hii kwa utaratibu wake,

Read More
Habari

WAANDISHI WA HABARI KUANZA KUJISAJILI KWENYE MFUMO WA TAI-HABARI – MSIGWA

May 3, 2025 Admin

Na Mwandishi Wetu, JAB Serikali imesema vitambulisho vya Uandishi wa Habari (Press Card), vitaanza kutolewa wakati wowote baada ya siku saba kuanzia leo Mei 3,

Read More
Habari

Mawakili wa Lissu waibua madai mapya

May 3, 2025 Admin

Dar es Salaam. Mawakili wa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu wameibua madai mapya wakidai Waziri wa Mambo ya Ndani, Innocent

Read More
Habari

Haya hapa maeneo ya kuwekeza Arusha

May 3, 2025 Admin

Arusha. Wawekezaji wameitwa kuwekeza katika sekta ya utalii, michezo, kilimo na uchimbaji madini katika Mkoa wa Arusha. Wameitwa wakati wa Jukwaa la Kiuchumi la Mkoa

Read More
Habari

WANA-RUANGWA HATUNA DENI NA RAIS DKT. SAMIA

May 3, 2025 Admin

 ::::::::::: MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Chama cha Mapinduzi, Waziri Mkuu na Mbunge wa Jimbo la Ruangwa, Kassim Majaliwa amesema kuwa Wilaya hiyo haina

Read More
Habari

Warioba, Butiku washauri maridhiano kabla ya uchaguzi

May 3, 2025 Admin

Dar es Salaam. Wanasiasa wakongwe nchini wameshauri kuwapo maridhiano kwa vyama vya siasa kabla ya kufanyika uchaguzi mkuu Oktoba, 2025. Wakongwe hao, Waziri Mkuu wa

Read More
Habari

Mjadala kuzuiwa maiti mochwari | Mwananchi

May 3, 2025 Admin

Dar es Salaam. Wakati Serikali ikiendelea kuvionya vituo vya afya kuacha tabia ya kuzuia maiti kwa kisingizio marehemu ameacha deni la gharama za matibabu, wadau

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 219 220 221 … 242 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.