Hiki ndio kitakachomaliza urasimu, migogoro ya ardhi Zanzibar

Unguja. Wakati Zanzibar ikizindua kwa mara ya kwanza kanuni za uhaulishaji wa ardhi, hatua hiyo inatajwa kusaidia kwa kiasi kikubwa kupunguza migogoro ya ardhi na kuondoa urasimu uliokuwa ukifanywa na watendaji. Pamoja na hayo, pia itapunguza muda na mchakato mrefu kwa wananchi kwasababu shughuli zote za uhaulishaji, ukodishwaji na kutoa hati zitafanywa sehemu moja tena…

Read More

MAKALA KUFANYA ZIARA YA SIKU SITA MOROGORO

Farida Mangube, Morogoro Katibu wa Itikadi na uenezi Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa CPA Amos Makala anatarajia kufanya ziara ya siku Sita mkoani Morogoro ambapo atakuana na kuzungumza na wanachama wa CCM pamoja na wananchi na kuelezea utekelezaji wa ilani ya CCM. Taarifa ya ziara ya kiongozi huyo imetolewa na Msemaji wa Chama Cha Mapinduzi…

Read More

MSIPOTOSHWE MAGARI YA ZIMAMOTO YANA MAJI – NYABWINYO.

Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Ruvuma limewataka wananchi kupuuza uvumi kuwa magari ya zimamoto hufika kwenye matukio bila maji, na kusisitiza kuwa magari hayo huandaliwa kikamilifu kwa ajili ya kukabiliana na majanga ya moto. Kaimu Kamanda wa Jeshi hilo Mkoa wa Ruvuma, Melania B. Nyabwinyo, alitoa ufafanuzi huo wakati wa bonanza maalum kwa…

Read More

WAANDISHI WA HABARI KUANZA KUJISAJILI KWENYE MFUMO WA TAI-HABARI – MSIGWA

Na Mwandishi Wetu, JAB Serikali imesema vitambulisho vya Uandishi wa Habari (Press Card), vitaanza kutolewa wakati wowote baada ya siku saba kuanzia leo Mei 3, 2025 baada ya Waandishi wa Habari kuanza kujisajili rasmi kwenye mfumo wa TAI-Habari. Mwandishi wa Habari ataanza kujisajili kupitia kiunganishi cha https://taihabari.jab.go.tz kisha kufuata maelekezo yaliyotolewa ili kukamilisha kujaza fomu…

Read More

Mawakili wa Lissu waibua madai mapya

Dar es Salaam. Mawakili wa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu wameibua madai mapya wakidai Waziri wa Mambo ya Ndani, Innocent Bashungwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Hamza Johari wanaingilia kesi dhidi ya mteja wao kabla mahakama haijatoa uamuzi Mei 6, 2025. Lissu aliyekamatwa na Jeshi la Polisi Aprili 9,…

Read More

Haya hapa maeneo ya kuwekeza Arusha

Arusha. Wawekezaji wameitwa kuwekeza katika sekta ya utalii, michezo, kilimo na uchimbaji madini katika Mkoa wa Arusha. Wameitwa wakati wa Jukwaa la Kiuchumi la Mkoa wa Arusha lililofanyika leo, likilenga kujadili fursa za kiuchumi kwa wawekezaji na wananchi katika mkoa huo. Jukwaa hilo, lililofanyika katika ukumbi wa AICC, lilikutanisha wadau zaidi ya 1,000. Liliongozwa na…

Read More

WANA-RUANGWA HATUNA DENI NA RAIS DKT. SAMIA

 ::::::::::: MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Chama cha Mapinduzi, Waziri Mkuu na Mbunge wa Jimbo la Ruangwa, Kassim Majaliwa amesema kuwa Wilaya hiyo haina deni na Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kutokana na kazi kubwa ya kimaendeleo iliyofanyika katika sekta mbalimbali. Ameyasema hayo leo (Jumamosi, Mei 03, 2025) wakati akizungumza katika kikao kilichojumuisha…

Read More

Warioba, Butiku washauri maridhiano kabla ya uchaguzi

Dar es Salaam. Wanasiasa wakongwe nchini wameshauri kuwapo maridhiano kwa vyama vya siasa kabla ya kufanyika uchaguzi mkuu Oktoba, 2025. Wakongwe hao, Waziri Mkuu wa zamani, Jaji Joseph Warioba na Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku wameeleza hayo, wakishauri Rais Samia Suluhu Hassan kuweka meza ya mazungumzo kati ya Serikali, Chama…

Read More

Mjadala kuzuiwa maiti mochwari | Mwananchi

Dar es Salaam. Wakati Serikali ikiendelea kuvionya vituo vya afya kuacha tabia ya kuzuia maiti kwa kisingizio marehemu ameacha deni la gharama za matibabu, wadau wametaka suala hilo lisizungumzwe kisiasa, badala yake zitumike njia sahihi kukabiliana na changamoto hiyo. Kauli ya Serikali imetolewa wakati ambao kumekuwa na matukio ya maiti kuzuiwa kwenye vituo vya afya…

Read More