Tabora. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Doto Biteko amesema hadi sasa vijiji vyote nchini Tanzania vimepata umeme na Serikali inaanza kupeleka umeme katika
Month: May 2025

Mufindi. Baada ya zaidi ya miaka 10 ya kuishi bila huduma ya umeme, wakazi wa Kitongoji cha Ilala, Kijiji cha Nyololo Wilaya ya Mufindi, mkoani

Tarime. Wizara ya Madini kwa kushirikiana na Mgodi wa Dhahabu wa Barrick North Mara uliopo Nyamongo, mkoani Mara, imetoa leseni 100 kwa ajili ya wachimbaji

Rombo. Wakulima wa kahawa katika Wilaya ya Rombo, mkoani Kilimanjaro, wameiomba Serikali kuchukua hatua madhubuti kudhibiti uuzwaji wa pembejeo duni, wakisema hali hiyo imekuwa kikwazo

Dar es Salaam. Jumuiya ya wanataaluma wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) imemuaga aliyekuwa profesa wa mshiriki katika kituo cha taaluma za mawasiliano

KOCHA Mkuu wa Kagera Sugar, Juma Kaseja anajua wana mechi ngumu za kumaliza msimu salama, lakini amesema amefanya kikao na wachezaji wa timu hiyo kuwatuliza

Dar es Salaam. Baada ya mvutano wa kibiashara kati ya Tanzania na Malawi uliodumu kwa siku kadhaa, hatimaye nchi hizo zimemaliza tofauti zao kupitia mkutano

MWENYEKITI wa Kamati ya Waamuzi Tanzania, Nassor Hamduni amesema kwa mujibu wa kanuni za Chama cha Waamuzi Tanzania (FRAT), hairuhusiwi mwamuzi kuwa mwanachama wa klabu

Dar es Salaam. Tuzo 31 zinatarajiwa kukabidhiwa kwa waandishi wa habari katika fainali ya Tuzo za ‘Samia Kalamu Awards’, zitakazotolewa Mei 5, 2025 jijini Dar

KIUNGO wa KenGold, Abdallah Masoud ‘Cabaye’ amefunguka kuhusu kuumizwa kwa kitendo cha timu hiyo kushuka daraja, licha ya kubakiwa na michezo mitatu kabla ya kumalizika