Biteko: Vijijini vyote vina umeme, ni zamu ya vitongoji

Tabora. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Doto Biteko amesema hadi sasa vijiji vyote nchini Tanzania vimepata umeme na Serikali inaanza kupeleka umeme katika vitongoji kwa kuanzia na vitongoji 20,000. Dk Biteko amesema hayo leo Jumamos, Mei 3, 2025, mkoani Tabora baada ya kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa kiwanda cha kutengeneza nguzo…

Read More

Baada ya miaka 10 gizani, Ilala waanza kupata umeme

Mufindi. Baada ya zaidi ya miaka 10 ya kuishi bila huduma ya umeme, wakazi wa Kitongoji cha Ilala, Kijiji cha Nyololo Wilaya ya Mufindi, mkoani Iringa, hatimaye wameunganishiwa nishati hiyo kupitia Mradi wa Usambazaji Umeme Vijijini (Rea), hatua iliyowapa matumaini mapya ya maendeleo na kuboresha maisha yao. Huduma hiyo imeanza kutolewa baada ya uwekaji wa…

Read More

Wakulima Rombo waomba Serikali kudhibiti pembejeo duni

Rombo. Wakulima wa kahawa katika Wilaya ya Rombo, mkoani Kilimanjaro, wameiomba Serikali kuchukua hatua madhubuti kudhibiti uuzwaji wa pembejeo duni, wakisema hali hiyo imekuwa kikwazo kwa juhudi zao za kukabiliana na magonjwa ya mimea, hususan kutu ya majani. Wamesema magonjwa hayo yanapunguza uzalishaji kwa kiasi kikubwa na kuwaathiri kiuchumi, kwani kahawa ni zao tegemeo kwa…

Read More

Profesa Qorro aagwa na jumuiya ya wanataaluma

Dar es Salaam. Jumuiya ya wanataaluma wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) imemuaga aliyekuwa profesa wa mshiriki katika kituo cha taaluma za mawasiliano chuoni hapo marehemu Martha Qorro aliyefariki dunia Aprili 30, 2025. Profesa Qorro alihudumu chuoni hapo kwa miaka 29 kabla kustaafu mwaka 2012 na kuendelea na ajira ya mkataba hadi mwaka…

Read More

Mvutano wa Tanzania na Malawi umemalizwa hivi

Dar es Salaam. Baada ya mvutano wa kibiashara kati ya Tanzania na Malawi uliodumu kwa siku kadhaa, hatimaye nchi hizo zimemaliza tofauti zao kupitia mkutano wa mawaziri waliokutana Dodoma jana. Baada ya kikao hicho cha Mei 2, 2025, kilichoongozwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wa Tanzania, Balozi Mahmoud Thabit…

Read More

Mwamuzi mechi ya Simba, Mashujaa FC achunguzwa

MWENYEKITI wa Kamati ya Waamuzi Tanzania, Nassor Hamduni amesema kwa mujibu wa kanuni za Chama cha Waamuzi Tanzania (FRAT), hairuhusiwi mwamuzi kuwa mwanachama wa klabu na kama ikibainika atafutwa kazi. Akizungumzia uwepo wa taarifa za mmoja wa waamuzi wasaidizi aliyekuwa sehemu ya mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Simba na Mashujaa uliochezwa jana, Ijumaa,…

Read More

Rais Samia kukabidhi tuzo ‘Samia Kalamu Awards’

Dar es Salaam. Tuzo 31 zinatarajiwa kukabidhiwa kwa waandishi wa habari katika fainali ya Tuzo za ‘Samia Kalamu Awards’, zitakazotolewa Mei 5, 2025 jijini Dar es Salaam. Katika tuzo hizo zitakazozotelewa na Rais Samia Suluhu Hassan, kutakuwa na tuzo za chombo cha habari, mwandishi mwenye mafanikio, mwandishi mahiri ofisa habari bora na habari kuhusu nishati…

Read More

KenGold yamliza Cabaye Bara | Mwanaspoti

KIUNGO wa KenGold, Abdallah Masoud ‘Cabaye’ amefunguka kuhusu kuumizwa kwa kitendo cha timu hiyo kushuka daraja, licha ya kubakiwa na michezo mitatu kabla ya kumalizika kwa msimu huu wa 2024/25. Kengold iliyopanda daraja msimu huu na kushuka kwa kuvuna pointi 16 tu katika mechi 27, baada ya kupoteza mechi nne mfululizo zilizopita mbele ya Azam…

Read More