NAHODHA wa zamani wa Tanzania Prisons, Benjamin Asukile amesema hajawahi kupata presha kubwa kama anayokutana nayo sasa akiwa benchini katika majukumu ya umeneja, tofauti na
Month: May 2025

KIUNGO wa kati wa KMC, Deusdedity Cosmas Okoyo amesema nje na kucheza soka ni mtaalamu wa kupiga gitaa linalomsaidia kumpa utulivu anapopata muda wa kupumzika

…………….. .Yamuomba Rais Maridhiano ya Kisiasa Mwandishi wetu,Dar es Saalam. MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binaadamu Tanzania(THRDC) umekabidhi jaketi za usalama kwa waandishi wanachama

Nihifadhi Abdulla JESHI LA POLISI ZANZIBAR limezitoa hofu Asasi za Kiraia zinazoendelea kusimamia haki za Wanawake, Vijana na Watu wenye Ulemavu ZNZ ambapo limesema litaendelea

Mbeya. Jeshi la Polisi mkoani Mbeya limesema linaendelea na uchunguzi wa kina kuhusu kutekwa na kupotea kwa mwanaharakati na kada wa Chama cha Demokrasia na

Msajili wa Hazina Zanzibar Waheed Mohammad Ibrahim Sanya akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na Jukwaa la Wakuu wa Taasisi mbalimbali za Umma litakalofanyika Mei

MERIDIANBET inakuletea Expanse Slot Tournament kuanzia 22 Aprili hadi 6 Mei 2025, fursa ya kipekee kwa wachezaji wote waliosajiliwa kwenye tovuti na App ya Meridianbet.

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS), limebaini mafuta ya kupikia yaliyosababisha athari kwa wakazi wa eneo la Yombo Dovya, Jijini Dar

Na Janeth Raphael MFUKO wa Maendeleo ya Jamii nchini (TASAF),umelenga kuwanusuru walengwa wanaotoka katika Kaya maskini kwa kuwapatia kiasi cha fedha ili waweze kujikwamua kiuchumi

Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Mwanaidi Khamis ametoa shukurani za dhati kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa