Benchi linampa presha Asukile
NAHODHA wa zamani wa Tanzania Prisons, Benjamin Asukile amesema hajawahi kupata presha kubwa kama anayokutana nayo sasa akiwa benchini katika majukumu ya umeneja, tofauti na kipindi alichokuwa anacheza uwanjani.
NAHODHA wa zamani wa Tanzania Prisons, Benjamin Asukile amesema hajawahi kupata presha kubwa kama anayokutana nayo sasa akiwa benchini katika majukumu ya umeneja, tofauti na kipindi alichokuwa anacheza uwanjani.
KIUNGO wa kati wa KMC, Deusdedity Cosmas Okoyo amesema nje na kucheza soka ni mtaalamu wa kupiga gitaa linalomsaidia kumpa utulivu anapopata muda wa kupumzika baada ya mechi. Okoyo alisema endapo ndoto ya soka isingetimia, basi angekuwa mwanamuziki kwani ni kitu alichokuwa anakipenda tangu utotoni. “Zamani nilikuwa napenda kuimba sana, nikajifunza kupiga gitaa ambalo hadi…
…………….. .Yamuomba Rais Maridhiano ya Kisiasa Mwandishi wetu,Dar es Saalam. MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binaadamu Tanzania(THRDC) umekabidhi jaketi za usalama kwa waandishi wanachama wa Chama cha Wafanyakazi katika Vyombo vya Habari Tanzania(JOWUTA) huku ikimuomba Rais Samia Suluhu kurejesha maridhiano ya kisiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu. Makabidhiano ya Jaketi hizo,yamefanyika jana katika hoteli ya Mbezi…
Nihifadhi Abdulla JESHI LA POLISI ZANZIBAR limezitoa hofu Asasi za Kiraia zinazoendelea kusimamia haki za Wanawake, Vijana na Watu wenye Ulemavu ZNZ ambapo limesema litaendelea kuhakikishia Haki, Ulinzi na Usalama kwa makundi hayo katika kipindi cha Uchaguzi Mkuu Mwaka huu 2025 zinalindwa kikamilifu. Kauli hiyo imetolewa na Kamishna wa Jeshi la Polisi Zanzibar, Khamis Kombo…
Mbeya. Jeshi la Polisi mkoani Mbeya limesema linaendelea na uchunguzi wa kina kuhusu kutekwa na kupotea kwa mwanaharakati na kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mdude Nyagali, huku mkewe akiomba Serikali kuingilia kati kumtafuta mumewe. Tukio hilo linadaiwa kutokea usiku wa kuamkia Mei 2, 2025, saa 8:00 usiku, nyumbani kwao eneo la Iwambi…
Msajili wa Hazina Zanzibar Waheed Mohammad Ibrahim Sanya akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na Jukwaa la Wakuu wa Taasisi mbalimbali za Umma litakalofanyika Mei 11 hadi 13 katika Hoteli ya Golden Tulip Mjini Zanzibar. OFISI ya Msajili wa Hazina Zanzibar imeandaa jukwaa la kwanza la wakuu wa taasisi za uwekezaji wa umma litakalofanyika kwa…
MERIDIANBET inakuletea Expanse Slot Tournament kuanzia 22 Aprili hadi 6 Mei 2025, fursa ya kipekee kwa wachezaji wote waliosajiliwa kwenye tovuti na App ya Meridianbet. Jiunge sasa kabla hujakosa nafasi yako ya kuwa mshindi mkubwa. Jinsi ya Kushiriki: Shindano hili linafanyika kupitia michezo ya Expanse Studios ambapo kila dau la TZS 3,000 linakupatia alama 10….
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS), limebaini mafuta ya kupikia yaliyosababisha athari kwa wakazi wa eneo la Yombo Dovya, Jijini Dar es salaam, yalikuwa yameharibika na ndani yake kubeba aina mbili za kemikali ambazo kitaalamu ni (E,E)2,4-Decadienal na decena. Kemikali hii hutokana na mafuta hayo kupikwa katika joto kali. Akizungumza na…
Na Janeth Raphael MFUKO wa Maendeleo ya Jamii nchini (TASAF),umelenga kuwanusuru walengwa wanaotoka katika Kaya maskini kwa kuwapatia kiasi cha fedha ili waweze kujikwamua kiuchumi wao na familia zao katika maeneo mbalimbali hapa nchini. Fedha hizo zimekuwa msaada mkubwa sana kwa baadhi ya kaya za walengwa wanaopokea kwa ajili ya kujikimu lakini pia wengine wanajiongeza…
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Mwanaidi Khamis ametoa shukurani za dhati kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu kwa nyongeza ya mshahara kwa watumishi wa umma ikiwa ni kuongeza chachu katika utekelezaji wa majukumu yao na maendeleo kwa Taifa. Naibu Waziri Mwanaidi ameyasema hayo…