Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: May 2025

  • Home
  • 2025
  • May
  • Page 223
Burudani

SERIKALI IPO TAYARI KUSHIRIKIANA NA WAANDAAJI WA TUZO ZA INJILI- DKT. MAPANA

May 3, 2025 Admin

Serikali imesema kuwa ipo tayari kushirikiana na waandaaji wa Tuzo za muziki wa injili Afrika Mashariki East Africa Gospel Awards,(EAGMA) ili kusaidia kufika mbali zaidi

Read More
Habari

SERIKALI INATHAMINI KAZI INAYOFANYWA NA SEKTA BINAFSI-MAJALIWA

May 3, 2025 Admin

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali inathamini kazi kubwa inayofanywa na sekta binafsi katika kuimarisha ustawi wa jamii nchini. Amesema hayo leo Ijumaa (Mei

Read More
Habari

Nondo za Profesa Lumumba kwa nchi za Afrika

May 3, 2025 Admin

Arusha. Mwanasheria nguli Afrika, Profesa Patrick Lumumba, amezitaka nchi za Afrika kujitafakari juu ya hatua za kuchukua kuhakikisha zinakuwa nchi zilizoendelea kiuchumi. Aidha, amesema nchi

Read More
Habari

Othman: Kamati ya amani haijafanikiwa Zanzibar

May 3, 2025 Admin

Unguja. Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Othman Masoud, amesema suala la kutafuta amani ya nchi linahitaji dhamira ya kweli, inayojali misingi ya utu,

Read More
Kimataifa

Mgogoro wa Myanmar unakua kama mashambulio ya kijeshi yanaendelea na mahitaji yanakua – maswala ya ulimwengu

May 3, 2025 Admin

Mtetemeko wa Machi 28 uliwauwa watu zaidi ya 3,800 na kuharibiwa au kuharibu zaidi ya nyumba 55,000 katika maeneo mengi, pamoja na Bago, Kayin, Magway,

Read More
Habari

Bei ya pamba yabaki Sh1,150 kwa kilo, wakulima walalamika

May 3, 2025 Admin

Bariadi. Serikali imetangaza kuwa bei ya kununua na kuuza kilo moja ya pamba safi daraja la kwanza kwa msimu wa kilimo wa 2024/25 itabaki kuwa

Read More
Habari

MCHENGERWA ASHIRIKI KONGAMANO LA UCHUMI LA ARUSHA.

May 3, 2025 Admin

::::::: Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-TAMISEMI,  Mhe. Mohamed Mchengerwa ni miongoni mwa viongozi waliohudhuria  jukwaa la uchumi Arusha linalofanyika katika Ukumbi wa IACC Arusha.

Read More
Habari

BASHUNGWA AAGIZA WALIOMSHAMBULIA PADRE KITIMA WAPATIKANE.

May 3, 2025 Admin

 :::::::::::: Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa amelaani vikali tukio la kushambuliwa kwa Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC),

Read More
Habari

Teknolojia yakwamisha hukumu ya Waziri mstaafu

May 3, 2025 Admin

Dar es Salaam. Mahakama Kuu Divisheni ya Ardhi imeshindwa kusoma hukumu ya kesi ya madai iliyofunguliwa na Waziri mstaafu, Edgar Maokola Majogo dhidi ya mpangaji

Read More
Habari

Serikali yaagiza aliyeandika ‘siku za Kitima zinahesabika’ atafutwe

May 3, 2025 Admin

Dar es Salaam. Serikali imelaani  tukio la kushambuliwa kwa Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Padri Charles Kitima, na kuagiza Jeshi la

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 222 223 224 … 242 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.