SERIKALI INATHAMINI KAZI INAYOFANYWA NA SEKTA BINAFSI-MAJALIWA

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali inathamini kazi kubwa inayofanywa na sekta binafsi katika kuimarisha ustawi wa jamii nchini. Amesema hayo leo Ijumaa (Mei 02, 2025) alipomwakilisha Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika miaka 100 na mkutano wa 100 wa Rotary International District 9214 kanda ya Tanzania na Uganda, uliofanyika katika ukumbi wa…

Read More

Nondo za Profesa Lumumba kwa nchi za Afrika

Arusha. Mwanasheria nguli Afrika, Profesa Patrick Lumumba, amezitaka nchi za Afrika kujitafakari juu ya hatua za kuchukua kuhakikisha zinakuwa nchi zilizoendelea kiuchumi. Aidha, amesema nchi nyingi za Afrika zimekuwa zikijipongeza kwa hatua za maendeleo ya kiuchumi walizopiga, lakini zimekuwa ndogo mithili ya mwendo wa kinyonga na kobe. Profesa Lumumba amesema hayo leo, Jumamosi Mei 3,…

Read More

Othman: Kamati ya amani haijafanikiwa Zanzibar

Unguja. Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Othman Masoud, amesema suala la kutafuta amani ya nchi linahitaji dhamira ya kweli, inayojali misingi ya utu, haki na uadilifu, wala si jambo la msimu kwa ajili ya kupata shukrani na fadhila za kisiasa. Amesema kwa maoni yake, Kamati ya Amani Zanzibar inayohusisha viongozi mbalimbali wa dini…

Read More

Mgogoro wa Myanmar unakua kama mashambulio ya kijeshi yanaendelea na mahitaji yanakua – maswala ya ulimwengu

Mtetemeko wa Machi 28 uliwauwa watu zaidi ya 3,800 na kuharibiwa au kuharibu zaidi ya nyumba 55,000 katika maeneo mengi, pamoja na Bago, Kayin, Magway, Mandalay, Shan Kusini, Naypyitaw na Sagaing. Familia tayari zimehamishwa na miaka ya migogoro sasa inakabiliwa na mvua za mapema, joto kali na hatari ya ugonjwa. Karibu watu milioni 20 –…

Read More

MCHENGERWA ASHIRIKI KONGAMANO LA UCHUMI LA ARUSHA.

::::::: Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-TAMISEMI,  Mhe. Mohamed Mchengerwa ni miongoni mwa viongozi waliohudhuria  jukwaa la uchumi Arusha linalofanyika katika Ukumbi wa IACC Arusha. Kongamano hili limejumuisha zaidi ya wadau 1000 kutoka maeneo mbalimbali duniani na kushirikisha mawaziri kadhaa wa sekta za tofauti. Mwanamajumui wa Afrika Profesa Patrick Lumumba  pia amealikwa kuwa miongoni mwa…

Read More

BASHUNGWA AAGIZA WALIOMSHAMBULIA PADRE KITIMA WAPATIKANE.

 :::::::::::: Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa amelaani vikali tukio la kushambuliwa kwa Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Padre Dkt. Charles Kitima na kuliagiza Jeshi la Polisi kumtafuta na kumhoji mtu aliyeandika kwenye mitandao ya kijamii kuwa “siku za Kitima zinahesabika”,pamoja na watu wote waliohusika na uhalifu huo…

Read More

Teknolojia yakwamisha hukumu ya Waziri mstaafu

Dar es Salaam. Mahakama Kuu Divisheni ya Ardhi imeshindwa kusoma hukumu ya kesi ya madai iliyofunguliwa na Waziri mstaafu, Edgar Maokola Majogo dhidi ya mpangaji wake, kampuni ya Catic International Engineering Tanzania Ltd, kutokana na tatizo la mfumo wa kimahakama. Hukumu hiyo ilikuwa imepangwa kusomwa jana, Ijumaa, Mei 2, 2025, na Jaji Lusungu Hemed, aliyesikiliza…

Read More