Serikali imesema kuwa ipo tayari kushirikiana na waandaaji wa Tuzo za muziki wa injili Afrika Mashariki East Africa Gospel Awards,(EAGMA) ili kusaidia kufika mbali zaidi
Month: May 2025

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali inathamini kazi kubwa inayofanywa na sekta binafsi katika kuimarisha ustawi wa jamii nchini. Amesema hayo leo Ijumaa (Mei

Arusha. Mwanasheria nguli Afrika, Profesa Patrick Lumumba, amezitaka nchi za Afrika kujitafakari juu ya hatua za kuchukua kuhakikisha zinakuwa nchi zilizoendelea kiuchumi. Aidha, amesema nchi

Unguja. Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Othman Masoud, amesema suala la kutafuta amani ya nchi linahitaji dhamira ya kweli, inayojali misingi ya utu,

Mtetemeko wa Machi 28 uliwauwa watu zaidi ya 3,800 na kuharibiwa au kuharibu zaidi ya nyumba 55,000 katika maeneo mengi, pamoja na Bago, Kayin, Magway,

Bariadi. Serikali imetangaza kuwa bei ya kununua na kuuza kilo moja ya pamba safi daraja la kwanza kwa msimu wa kilimo wa 2024/25 itabaki kuwa

::::::: Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mhe. Mohamed Mchengerwa ni miongoni mwa viongozi waliohudhuria jukwaa la uchumi Arusha linalofanyika katika Ukumbi wa IACC Arusha.

:::::::::::: Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa amelaani vikali tukio la kushambuliwa kwa Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC),

Dar es Salaam. Mahakama Kuu Divisheni ya Ardhi imeshindwa kusoma hukumu ya kesi ya madai iliyofunguliwa na Waziri mstaafu, Edgar Maokola Majogo dhidi ya mpangaji

Dar es Salaam. Serikali imelaani tukio la kushambuliwa kwa Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Padri Charles Kitima, na kuagiza Jeshi la