Nafasi ya Kuwa Milionea Unayo Leo

  IJUMAA ya leo ni siku nzuri ya wewe kuondoka na mshindo wa maana ambapo wakali wa ubashiri Tanzania Meridianbet wanakwambia hivi, ingia kwenye akaunti yako na usuke jamvi hapa. EPL leo hii itaendelea kwa mchezo mmoja ambapo Manchester City watakuwa nyumbani kukiwasha dhidi ya Wolves ambao wapo nafasi ya 13 huku mechi ya mkondo wa…

Read More

Vita vya Vietnam na Gaza vilibomoa udanganyifu vijana juu ya viongozi wa Amerika – maswala ya ulimwengu

Waandamanaji hukusanyika mbele ya Ikulu ya White House kwenye Pennsylvania Avenue mnamo 1966 kupinga Vita vya Vietnam. Mikopo: Chama cha Kihistoria cha White House na Mauro Teodori (San Francisco, USA) Ijumaa, Mei 2, 2025 Huduma ya waandishi wa habari SAN FRANCISCO, USA, Mei 2 (IPS) – Miaka minane kabla ya serikali iliyoungwa mkono na Amerika…

Read More

Profesa Mabiki ataja mbinu ya kusaidia watoto kukuza udadisi

Morogoro. Profesa mbobevu wa kemia kutoka Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA), Ndaki ya Sayansi Asili na Tumizi, Faith Mabiki amesema ipo haja ya kuwashirikisha watoto kwenye matukio ya kisayansi ili kukuza udadisi wao. Amesema hilo litasaidia kuongeza idadi ya wanafunzi wanaosoma masomo ya sayansi, ambayo watu huamini kuwa ni magumu. Profesa Mabiki amesema…

Read More

Kusiluka awataka wakaguzi wa ndani kuheshimiwa

Dodoma. Katibu Mkuu Kiongozi, Dk Moses Kusiluka, amezitaka taasisi za Serikali na binafsi kuwaheshimu wakaguzi wa ndani na kuwekeza katika maendeleo yao ili kukuza mchango wao. Dk Kusiluka ameyasema hayo leo Ijumaa, Mei 2, 2025 jijini Dodoma, wakati wa kufungua mkutano wa mwezi wa ukaguzi wa ndani ulioandaliwa na Taasisi ya Ukaguzi wa Ndani Tanzania.Amezihimiza…

Read More

Inter Zanzibar, Tekeleza zashuka rasmi ZPL

SAFARI ya Inter Zanzibar na Tekeleza katika Ligi Kuu ya Zanzibar (ZPL), imefikia tamati jioni leo baada kufungwa mabao 4-0 na KVZ, huku Tekeleza nayo ikishuka daraja kwa kufungwa huko Pemba. Timu hizo ni miiongoni mwa nne zilizopanda Ligi Kuu msimu huu, sambamba na vinara wa ligi hiyo kwa sasa, Mwembe Makumbi na Junguni United. Inter…

Read More

Nida yakunjua makucha vitambulisho feki, wamiliki wa steshenari watajwa

Dar es Salaam. Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (Nida) imewaonya wamiliki na watoa huduma wa ‘steshenari’ wanaotengeneza na kuchapisha Vitambulisho vya Taifa ikieleza kufanya hivyo ni kosa kisheria. Kwa mujibu wa Msemaji wa Nida, Geofrey Tengeneza kumekuwa na ongezeko la watu wenye namba za utambulisho (NIN) kutengenezewa vitambulisho bandia, ambavyo imebainika katika uchunguzi hutengenezwa kwenye…

Read More