Biteko: Sekta ya nishati ipo salama chini ya Rais Samia

Dar es Salaam. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko amesema ni lazima Watanzania wapate huduma bora ya umeme huku akimtaja Rais Samia Suluhu Hassan ametajwa kwa kuwa kinara katika kusukuma kufikiwa kwa malengo hayo. Dk Biteko amesema azma ya Serikali ni kuhakikisha Tanzania wanapata huduma bora katika sekta mbalimbali za kijamii…

Read More

DK.OMARI ATAKA WADAU KUTUMIA FURSA KWENYE ZAO LA MPUNGA

Na Mwandishi Wetu WADAU wa zao la Mpunga nchini wametakiwa kuzichangamkia fursa zipatikanazo kwenye mnyororo mzima wa thamani kwenye zao la mpunga. Ushauri huo umetolewa na Naibu Katibu Mkuu anayeshughulikia Maendeleo ya Mazao na Usalama wa Chakula, Dkt. Hussein Mohamed Omar wakati akifunga Mkutano wa Kitaifa wa Wadau wa Zao la Mpunga uliofanyika Hoteli ya…

Read More

Misukosuko anayopitia Mdude Nyagali | Mwananchi

Mbeya/Dar. Kwa mara ya sita tangu mwaka 2016, mwanaharakati Mdude Nyagali, amejikuta kwenye misukosuko, safari hii ikidaiwa watu waliojitambulisha askari polisi wamevamia nyumbani kwake, wakampiga na kumkamata. Hata hivyo, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Benjamin Kuzaga leo Ijumaa Mei 2, 2025 kupitia taarifa kwa umma amekanusha taarifa hizo zilizosambaa kwenye mitandao ya kijamii zikilihusisha…

Read More

Zimamoto, Uhamiaji zashindwa kutambiana | Mwanaspoti

LIGI Kuu ya Zanzibar, imerejea tena jioni ya leo Ijumaa, ikishuhudiwa timu za Zimamoto na Uhamiaji zikishindwa kutambiana kwa kutoka sare ya 1-1 katika mechi kali iliyopigwa kwenye Uwanja wa Mao Zedong, mjini Unguja.  Mechi hiyo ilikuwa ni ya raundi ya 23 baada ya kusimama kupisha michuano ya Kombe la Muungano, ambapo Zimamoto ilitolewa nisu…

Read More

Mradi wa Sh44 bilioni wazinduliwa Tabora

Tabora. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko, ameagiza Wakala wa Nishati Vijijini (Rea) kutoa kipaumbele kwa Wilaya ya Urambo katika mpango wa vijiji 28,000 vitakavyopatiwa umeme. Ametoa agizo hilo leo Ijumaa, Mei 2, 2025, wakati wa uzinduzi wa kituo cha kupokea, kupooza na kusambaza umeme cha Uhuru, msongo wa kilovoti 132,…

Read More

Mchengerwa ahitimisha sakata ujenzi jengo la utawala Arusha

Arusha. Baada ya kuwapo tuhuma za ubadhirifu kuhusu ujenzi wa jengo la utawala la Halmashauri ya Jiji la Arusha, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tamisemi, Mohamed Mchengerwa amesema yuko jijini humo kuhitimisha minong’ono, maneno yaliyowavuruga na kuwachanganya, hivyo kuvuruga ujenzi. Mbali ya hayo, amemweleza Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Arusha, Thomas…

Read More

Wananchi wanahitaji umeme na sio maneno – Mhandisi Malibe

Shirika la umeme Tanzania TANESCO Mkoa wa Ruvuma, limewataka wafanyakazi wa Shirika hilo kuhakikisha wananchi wanapata huduma ya umeme nyakati zote kwani hitaji lao ni umeme na nasio maneno. Hayo yameelezwa na Kaimu Meneja wa TANESCO Mkoa wa Ruvuma Mhandisi Boniface Malibe, wakati wa hafla iliyoandaliwa na Afisa Rasilimaliwatu wa Shirika hilo ya kuwapongeza wafanyakazi…

Read More

IAA yabeba ubingwa, yapanda First League

Timu ya Soka ya Chuo Cha Uhasibu Arusha (IAA SC) imetwaa ubingwa wa Ligi ya Mabingwa Mikoa RCL 2025 baada ya kuifunga Misitu ya Tanga kwa penalti 4-2 katika mchezo wa fainali baada ya dakika 120 kumalizika kwa sare ya 2-2. IAA sasa imeongeza idadi za timu za Arusha  katika mashindano makubwa ambayo yanasimamiwa na…

Read More