Dar es Salaam. Mei Mosi ya mwaka huu imeacha kicheko kwa maelfu ya watumishi wa umma baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kutangaza nyongeza ya
Month: May 2025

Mwanza. Wakati Rais Samia Suluhu Hassan akitangaza nyongeza ya kima cha chini cha mshahara cha asilimia 35.1 kwa watumishi wa umma, baadhi ya wananchi na

Na Anangisye Mwateba-Bungeni Dodoma Wizara ya Maliasili na Utalii, kupitia Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) imetenga fedha kiasi cha Shilingi bilioni 23.18 kwa ajili

OR- TAMISEMI Naibu Waziri Ofisi ya Rais – TAMISEMI Mhe. Zainab Katimba amesema serikali itaendelea kusimamia Halmashauri zote nchini ili ziweze kutimiza majukumu ya msingi

SIMBA imepata ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Mashujaa katika mechi iliyojaa matukio ya utata ikiwamo refa Kefa Kayombo kutoka Mbeya kuweka rekodi ya kuongeza

Mbeya/Dar. Kwa mara ya sita tangu mwaka 2016, mwanaharakati Mdude Nyagali, amejikuta kwenye misukosuko, safari hii ikidaiwa watu waliojitambulisha askari polisi wamevamia nyumbani kwake, wakampiga

BAADA ya kufuzu nusu fainali ya Kombe la Shirikisho (ZFF Cup), Mlandege inarejea tena uwanjani leo katika mwendelezo wa mechi za Ligi Kuu Zanzibar (ZPL)

KOCHA wa timu ya JKU, Haji Ali Nuhu amekubali matokeo ya kulikosa taji la Muungano walililolipigia hesabu mapema, lakini akiwapongeza wachezaji wa timu hiyo kwa

Hai. Baadhi ya wananchi wa vijiji vinne vilivyopo Kata ya Narumu, Wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro, wametajwa kuongoza kwa unywaji wa pombe haramu kupita kiasi,

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Hamad Yussuf Masauni amesema michezo ni fursa inayowawezesha vijana wengi ambao wameamua kuendeleza vipaji