BILIONI 23 KUBORESHA MIUNDO MBINU KATIKA HIFADHI ZA TAIFA

Na Anangisye Mwateba-Bungeni Dodoma Wizara ya Maliasili na Utalii, kupitia Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) imetenga fedha kiasi cha Shilingi bilioni 23.18 kwa ajili ya matengenezo ya barabara zenye urefu wa kilomita 2,381.7 na vivuko 69 katika hifadhi za Taifa. Haya yamebainishwa na Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe.Dunstan Kitandula alipokuwa anajibu swali…

Read More

Simba chupuchupu, mwamuzi awa gumzo KMC Complex

SIMBA imepata ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Mashujaa katika mechi iliyojaa matukio ya utata ikiwamo refa Kefa Kayombo kutoka Mbeya kuweka rekodi ya kuongeza dakika 15 ikiwa ni muda mrefu katika mechi ya Ligi Kuu Bara, huku Wekundu hao wakisaliwa na dakika 90 kukata tiketi ya CAF. Simba ilipata ushindi huo kwenye Uwanja wa…

Read More

Misukosuko anayopitia Mdude Nyangali | Mwananchi

Mbeya/Dar. Kwa mara ya sita tangu mwaka 2016, mwanaharakati Mdude Nyagali, amejikuta kwenye misukosuko, safari hii ikidaiwa watu waliojitambulisha askari polisi wamevamia nyumbani kwake, wakampiga na kumkamata. Hata hivyo, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Benjamin Kuzaga leo Ijumaa Mei 2, 2025 kupitia taarifa kwa umma amekanusha taarifa hizo zilizosambaa kwenye mitandao ya kijamii zikilihusisha…

Read More

JKU kiroho safi kwa Yanga SC

KOCHA wa timu ya JKU, Haji Ali Nuhu amekubali matokeo ya kulikosa taji la Muungano walililolipigia hesabu mapema, lakini akiwapongeza wachezaji wa timu hiyo kwa kujitoa na kuonyesha kiwango kizuri katika michuano hiyo iliyomaliizika juzi usuku kwenye Uwanja wa Gombani, Pemba. Katika mchezo huo wa fainali JKU iliyozing’oa Singida Black Stars na Azam, ilikubali kichapo…

Read More

Unywaji pombe haramu bado tishio Kilimanjaro

Hai. Baadhi ya wananchi wa vijiji vinne vilivyopo Kata ya Narumu, Wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro, wametajwa kuongoza kwa unywaji wa pombe haramu kupita kiasi, hasa katika saa za kazi, hali inayodaiwa kuchangia kuzorota kwa shughuli za maendeleo. Hayo yameelezwa na Mwanasheria wa Halmashauri ya wilaya hiyo, Blandina Mweta, Aprili 30, wakati akiwasilisha rasimu ya…

Read More

Waziri Masauni ataka vipaji vitunzwe

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Hamad Yussuf Masauni amesema michezo ni fursa inayowawezesha vijana wengi ambao wameamua kuendeleza vipaji vyao kujiajiri, endapo kutakuwa na mazingira rafiki kwao ya  kuviendeleza. Waziri Masauni aliyasema hayo juzi wakati akikagua ujenzi wa Uwanja wa Michezo wa TAYI uliopo Jimbo la Kikwajuni, Wilaya ya…

Read More