Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: May 2025

  • Home
  • 2025
  • May
  • Page 228
Habari

Wachumi wachambua nyongeza ya mshahara ya Serikali

May 2, 2025 Admin

Dar es Salaam. Mei Mosi ya mwaka huu imeacha kicheko kwa maelfu ya watumishi wa umma baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kutangaza nyongeza ya

Read More
Habari

Kauli za wananchi, watumishi Serikali kuongeza mshahara

May 2, 2025 Admin

Mwanza. Wakati Rais Samia Suluhu Hassan akitangaza nyongeza ya kima cha chini cha mshahara cha asilimia 35.1 kwa watumishi wa umma, baadhi ya wananchi na

Read More
Habari

BILIONI 23 KUBORESHA MIUNDO MBINU KATIKA HIFADHI ZA TAIFA

May 2, 2025 Admin

Na Anangisye Mwateba-Bungeni Dodoma Wizara ya Maliasili na Utalii, kupitia Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) imetenga fedha kiasi cha Shilingi bilioni 23.18 kwa ajili

Read More
Habari

WAKURUGENZI WAHIMIZWA KUTENGA FEDHA KWA AJILI YA UJENZI WA MIRADI

May 2, 2025 Admin

OR- TAMISEMI Naibu Waziri Ofisi ya Rais – TAMISEMI Mhe. Zainab Katimba amesema serikali itaendelea kusimamia Halmashauri zote nchini ili ziweze kutimiza majukumu ya msingi

Read More
Michezo

Simba chupuchupu, mwamuzi awa gumzo KMC Complex

May 2, 2025 Admin

SIMBA imepata ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Mashujaa katika mechi iliyojaa matukio ya utata ikiwamo refa Kefa Kayombo kutoka Mbeya kuweka rekodi ya kuongeza

Read More
Habari

Misukosuko anayopitia Mdude Nyangali | Mwananchi

May 2, 2025 Admin

Mbeya/Dar. Kwa mara ya sita tangu mwaka 2016, mwanaharakati Mdude Nyagali, amejikuta kwenye misukosuko, safari hii ikidaiwa watu waliojitambulisha askari polisi wamevamia nyumbani kwake, wakampiga

Read More
Michezo

Mlandege yageukia Ligi Kuu

May 2, 2025 Admin

BAADA ya kufuzu nusu fainali ya Kombe la Shirikisho (ZFF Cup), Mlandege inarejea tena uwanjani leo katika mwendelezo wa mechi za Ligi Kuu Zanzibar (ZPL)

Read More
Michezo

JKU kiroho safi kwa Yanga SC

May 2, 2025 Admin

KOCHA wa timu ya JKU, Haji Ali Nuhu amekubali matokeo ya kulikosa taji la Muungano walililolipigia hesabu mapema, lakini akiwapongeza wachezaji wa timu hiyo kwa

Read More
Habari

Unywaji pombe haramu bado tishio Kilimanjaro

May 2, 2025 Admin

Hai. Baadhi ya wananchi wa vijiji vinne vilivyopo Kata ya Narumu, Wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro, wametajwa kuongoza kwa unywaji wa pombe haramu kupita kiasi,

Read More
Michezo

Waziri Masauni ataka vipaji vitunzwe

May 2, 2025 Admin

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Hamad Yussuf Masauni amesema michezo ni fursa inayowawezesha vijana wengi ambao wameamua kuendeleza vipaji

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 227 228 229 … 242 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.