Mbeya. Kambi ya madaktari bingwa bobezi 58 kupitia programu ya Mama Samia, wanatarajia kuweka kambi ya siku tano katika Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Mbeya.
Month: May 2025

MJUMBE WA INEC ATEMBELEA VITUO VYA KUANDIKISHIA WAPIGA KURA KATA YA NSALALA NA UTENGULE MKOANI MBEYA
Mjumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe.Magdalena K.Rwebangira akiwa na Afisa Mwandikishaji Jimbo la Mbeya Vijijini, Ndg.Gidion G.Mapunda ofisi kwake baada ya kufika

BAADA ya kufuzu nusu fainali ya Kombe la Shirikisho (ZFF Cup), Mlandege inarejea tena uwanjani leo katika mwendelezo wa mechi za Ligi Kuu Zanzibar (ZPL)

Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo akiwahutubia wananchi wa Nyehunge, amesema Buchosa ijayo itakuwa ni ya viwanda na utalii ambapo ameonesha kukerwa na

Hai. Baadhi ya wananchi wa vijiji vinne vilivyopo Kata ya Narumu, Wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro, wametajwa kuongoza kwa unywaji wa pombe haramu kupita kiasi,

Mbeya. Kambi ya madaktari bingwa bobezi 58 kupitia programu ya Mama Samia, wanatarajia kuweka kambi ya siku tano katika Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Mbeya.

Ni Ijumaa ya kwanza ya mwezi Mei ambapo mwezi huu umekuja kivingine ndani ya Meridianbet. Unajua kwanini?, Ni kwasababu huu ndio mwezi ambao ligi zinaenda

Dodoma. Wizara ya Madini imewasilisha bajeti yake kwa mwaka 2025/26, huku ikieleza kusudio la kuja na utaratibu wa kudhibiti madini ya Tanzanite kwa kuwataka wakaguzi

Dar es Salaam, Mei 2, 2025 — Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa, ameizindua rasmi Bodi mpya ya Wakurugenzi ya Shirika la Ndege la Air

Dar es Salaam. Katika kipindi hiki cha maendeleo ya kasi ya kiteknolojia, teknolojia ya akili mnemba (AI) imeendelea kuwa miongoni mwa uvumbuzi unaobadilisha maisha ya