MJUMBE WA INEC ATEMBELEA VITUO VYA KUANDIKISHIA WAPIGA KURA KATA YA NSALALA NA UTENGULE MKOANI MBEYA

Mjumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe.Magdalena K.Rwebangira akiwa na Afisa Mwandikishaji Jimbo la Mbeya Vijijini, Ndg.Gidion G.Mapunda ofisi kwake baada ya kufika kwa ajili ya kuona zoezi la Uboreshaji linavyokwenda katika Jimbo hilo. Sambamba na hilo Mhe.Rwebangira ametembelea na kukagua vituo vya kuandikisha Wapiga Kura vya Shule ya Msingi Nsalala na Ofisi…

Read More

MLANDEGE | Mwanaspoti

BAADA ya kufuzu nusu fainali ya Kombe la Shirikisho (ZFF Cup), Mlandege inarejea tena uwanjani leo katika mwendelezo wa mechi za Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) na jana Ijumaa iliikaribisha Mwembe Makumbi inayoongoza msimamo wa ligi hiyo. Mlandege iliitoa Kikungwi Stars kwa penalti 5-4 baada ya dakika 90 kumalizika kwa suluhu na kuungana na KMKM, Mafunzo…

Read More

Unywaji pombe tishio Kata ya Narumu

Hai. Baadhi ya wananchi wa vijiji vinne vilivyopo Kata ya Narumu, Wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro, wametajwa kuongoza kwa unywaji wa pombe haramu kupita kiasi, hasa katika saa za kazi, hali inayodaiwa kuchangia kuzorota kwa shughuli za maendeleo. Hayo yameelezwa na Mwanasheria wa Halmashauri ya wilaya hiyo, Blandina Mweta, Aprili 30, wakati akiwasilisha rasimu ya…

Read More

Kambi ya madaktari bingwa yatua nyanda za juu

Mbeya. Kambi ya madaktari bingwa bobezi 58 kupitia programu ya Mama Samia, wanatarajia kuweka kambi ya siku tano katika Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Mbeya. Kambi hiyo itahusisha matibabu ya kitaalamu ya uchunguzi wa afya ya akili, upasuaji wa kibingwa, moyo, figo, saratani, mifupa na uchunguzi wa kina wa magonjwa ya wanawake. Mganga Mfawidhi wa…

Read More

Unavyoweza kutengeneza pesa kwa kutumia AI

Dar es Salaam. Katika kipindi hiki cha maendeleo ya kasi ya kiteknolojia, teknolojia ya akili mnemba (AI) imeendelea kuwa miongoni mwa uvumbuzi unaobadilisha maisha ya watu duniani. Teknolojia hii haifanyi kazi tu katika viwanda au kampuni kubwa za kimataifa, bali pia inatoa fursa za kiuchumi kwa watu binafsi katika sekta mbalimbali. Kwa mujibu wa wataalamu…

Read More