Mbunge Shigongo Apongezwa kwa Ubunifu wa Madarasa Janja Kupitia TEHAMA – Global Publishers
Last updated May 28, 2025 Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo Serikali kupitia kwa Naibu Waziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Zainab Katimba imempongeza Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo kwa kuanzisha madarasa janja (smart classes) ili kukabiliana na uhaba wa walimu katika jimbo hilo. Katimba ameyasema…