Kihimbwa hataki kumaliza kinyonge

WINGA wa Fountain Gate, Salum Kihimbwa amesema licha ya msimu mbaya akishindwa kufikia lengo la kufunga mabao 10 na asisti 10 kama alivyokuwa amepanda awali, lakini kwa mechi tatu zilizobaki kabla ya Ligi Kuu kufikia tamati, amepania kufanya kitu ili asimalize kinyonge.

Read More

Wibol Maseke aomba msimu uishe tu

KIPA wa KMC, Wibol Maseke amesema kwa namna mambo yalivyomuendea kombo akiwa na kikosi hicho kwa msimu huu kwa kucheza mechi saba tu, anaona ni vyema msimu ulishe ili ajipange upya. Maseke ametumika katika mechi sita za Ligi Kuu Bara na moja ya Kombe la Shirikisho (FA), huku muda mwingi akiishia kukaa benchi kitu ambacho…

Read More

Afrika yaazimia mambo sita kukabili mabadiliko ya tabianchi

Unguja. Mambo sita yameazimiwa katika mkutano wa kundi la wataalamu wa majadiliano ya mabadiliko ya tabianchi Afrika (AGN) ikiwa ni pamoja na kuweka mifumo wezeshi ya upatikanaji wa fedha kwa ajili ya tabianchi na kutumia maliasili zilizopo kuyanufaisha mataifa hayo. Mkutano huo uliohudhuriwa na wajumbe kutoka mataifa 54 ya Afrika, pia umeamua kuunda kikosi kazi…

Read More

ACT-Wazalendo, CCM Zanzibar hapatoshi | Mwananchi

Unguja. Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo (Taifa), Othman Masoud Othman amesema haki na maendeleo ya kweli havitapatikana iwapo wananchi wa kisiwa hicho hawatafanya uamuzi wa kubadilisha viongozi walipo kwa sasa kisiwani kupitia uchaguzi mkuu wa Oktoba, mwaka huu. Wakati Othman akisema hivyo, Chama cha Mapinduzi (CCM) kimesema kauli zinazotolewa na chama hicho ni za kujifurahisha…

Read More