Mbeya. Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limekanusha taarifa zilizosambaa kwenye mitandao ya kijamii zikidai kuwa askari wake wanahusika katika tukio la kuvamiwa na kupigwa
Month: May 2025

Bajeti ya Wizara ya Mipango na Uwekezaji kwa mwaka wa fedha 2025/26 imewasilishwa rasmi bungeni na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Mipango na

WINGA wa Fountain Gate, Salum Kihimbwa amesema licha ya msimu mbaya akishindwa kufikia lengo la kufunga mabao 10 na asisti 10 kama alivyokuwa amepanda awali,

Na John Mapepele Siku moja baada ya Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan kutangaza kupandisha kima cha chini cha mshahara wa watumishi wa Serikali kwa 35%

Dar es Salaam. Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kimetangaza kuwa kesho, Mei 3, 2025, kitaanzisha kamati maalumu itakayoratibu mpango wa kukutana na Rais Samia Suluhu

:::::::::: TUME ya TEHAMA (ICTC) imeshiriki kikamilifu katika sherehe za Siku ya Wafanyakazi Duniani mwaka huu ambazo kwa Jiji la Dar es Salaam, ziliongozwa na

KIPA wa KMC, Wibol Maseke amesema kwa namna mambo yalivyomuendea kombo akiwa na kikosi hicho kwa msimu huu kwa kucheza mechi saba tu, anaona ni

Na Mwandishi Wetu MAMLAKA ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA) imezindua shindano la Masoko ya Mitaji kwa wanafunzi wa vyuo vikuu na Taasisi za

Unguja. Mambo sita yameazimiwa katika mkutano wa kundi la wataalamu wa majadiliano ya mabadiliko ya tabianchi Afrika (AGN) ikiwa ni pamoja na kuweka mifumo wezeshi

Unguja. Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo (Taifa), Othman Masoud Othman amesema haki na maendeleo ya kweli havitapatikana iwapo wananchi wa kisiwa hicho hawatafanya uamuzi wa