Afikishwa mahakamani kwa madai ya kumuua mkewe

Geita. Mkazi wa Kijiji cha Ilolangulu, Wilaya ya Mbogwe mkoani Geita, Samwel Lusaja (53) na mwenzake Masumbuko John (47), wamefikishwa katika Mahakama Kuu – Masjala Ndogo ya Geita, wakikabiliwa na tuhuma za mauaji ya Sophia Kaboja (60), ambaye anatajwa kuwa mke wa Samwel Lusaja. Kesi hiyo namba 8275/2024, imewasilishwa mahakamani kwa ajili ya kusikilizwa kwa…

Read More

TBS Yateketeza Tani 43 za Bidhaa zilizopigwa Marufuku

NA EMMANUEL MBATILO, PWANI SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) Kanda ya Mashariki limeteketeza bidhaa hafifu za vipodozi na nguo za ndani za mtumba tani 43 zenye thamani ya shilingi milioni 303 ambazo zimepigwa marufuku kuingia nchini. Bidhaa hizo zilikamatwa katika operasheni waliyoifanya katika mikoa ya Pwani, Dar es Salaam na Morogoro na kubaini uwepo wa…

Read More

Huyu ndiye aliyeamua shauri la Yanga CAS

Jana Alhamisi, Mei Mosi, Mahakama ya Kimataifa ya Usuluhishi wa Michezo (CAS) ilitoa taarifa ya kufuta na kutoendelea na shauri lililofunguliwa na Yanga kuhusu mchezo wake wa mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Bara ulioahirishwa dhidi ya Simba, Machi 8, 2025. Yanga iliiomba CAS mechi ya marudiano baina yao na Simba isipangiwe tarehe na pia…

Read More

Suluhu ya kudumu ya wakimbizi yatafutwa Ulyankulu

Dodoma. Mbunge wa Ulyankulu, Rehema Migila, ameitaka Serikali kueleza ni lini wananchi wa Kata za Milambo, Kanindo na Igombemkulu wataanza kutambuliwa chini ya Sheria Na. 7 ya Tawala za Mikoa (Tamisemi), badala ya Sheria Na. 9 ya Wakimbizi. Katika swali la nyongeza bungeni leo, Ijumaa Mei 2, 2025, mbunge huyo amesema kuwa maisha ya wananchi…

Read More

Mkurugenzi Zahara Michuzi atunukiwa cheti cha Mfanyakazi Hodari Mei Mosi Maswa

KATIKA shamrashamra za maadhimisho ya Siku  ya Wafanyakazi Duniani, Mei Mosi, yaliyofanyika katika Uwanja wa Nguzo Nane wilayani Maswa, Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Comrade Kenani Kihongosi, alikabidhi cheti cha heshima kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Meatu, Bi. Zahara Muhidin Michuzi, kwa kutambua mchango wake mkubwa kama mfanyakazi hodari na mwenye weledi….

Read More

CRDB yapeleka wafanyabiashara maonyesho ya biashara China

Yiwu, China. Katika kuendeleza uwezeshaji wa wananchi kiuchumi, Benki ya CRDB imeratibu safari ya wafanyabiashara 36 kutoka mikoa mbalimbali nchini Tanzania kwenda kushiriki Maonyesho ya Biashara ya Kimataifa ya Canton yanayoendelea nchini China. Maonyesho haya yanawakutanisha wajasiriamali kutoka mataifa mbalimbali duniani, kuwapa fursa ya kuzungumza moja kwa moja na wakurugenzi wa makampuni ya huduma na…

Read More