Dar es Salaam. Mwaka mmoja baada ya kuundwa kwa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), makada watatu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wamefungua
Month: May 2025

Mbeya. Wakati wakulima wa zao la mpunga wilayani Mbarali, mkoani Mbeya, wakijiandaa kwa msimu wa mavuno, taharuki imetanda kufuatia mashamba kuvamiwa na ndege aina ya

Dodoma. Serikali imetangaza kuanza rasmi utekelezaji wa mwongozo wa kuwatambua na kutoa kipaumbele kwa wanaojitolea katika kazi mbalimbali, hasa pindi zinapotokea nafasi za ajira. Naibu

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imeungana na mamilioni ya wafanyakazi kote nchini na duniani kwa ujumla kusherekea Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani, MEI

Mkurugenzi wa Elimu kwa Mlipakodi na Mawasiliano wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Richard Kayombo amesema kuwa ushiriki wa wanamichezo kutoka TRA katika michezo

📌Barabara zenye changamoto kufikiwa 📌Zipo barabara zenye kipaumbele kwa jamii. Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Mhandisi Victor Seff amewaagiza

Mbeya. Katibu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mkoa wa Mbeya, Hamad Mbeyale, amelitaka Jeshi la Polisi kueleza iwapo linamshikilia mwanaharakati Mdude Nyagali na

Dar es Salaam, Aprili 25, 2025 – Ikiadhimisha miaka 10 ya utoaji wa kadi za mikopo (credit card) nchini Tanzania, Absa Bank Tanzania imezindua Absa

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Ruvuma imewataka waajiri katika taasisi mbalimbali kuhakikisha hawawazuii wafanyakazi kujiunga na vyama vya wafanyakazi, kwani kufanya hivyo ni

Bunda. Muuguzi wa Zahanati ya Kijiji cha Malembeka kilichopo wilayani Bunda, Mkoa wa Mara, Zawadi Kazi (31) amefariki dunia baada ya kuchomwa na kisu sehemu