Dar es Salaam. Mwaka mmoja baada ya kuundwa kwa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), makada watatu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wamefungua
Month: May 2025

HAKUNA ubishi, straika wa Singida Black Stars, Jonathan Sowah ni kama ameshindikana kwa moto aliouonyesha kupitia mechi 11 za Ligi Kuu Bara akifunga mabao 11

Dar es Salaam. Ni vizuri kutaka kuwa peke yako nyakati nyingine, lakini inapofikia kuwa hatua hiyo ndio mtindo wa maisha yako ya kila siku ni hatari.

KITAKWIMU ni rasmi kuwa, Yanga imeshafuzu Ligi ya Mabingwa Afrika msimu ujao ikiwa imesaliwa na mechi nne mkononi. Hiyo imewapa kiburi cha kuanza harakati za

ZIMEPITA takribani siku 182 tangu mara ya mwisho Steven Mukwala afunge bao kwa kichwa katika dakika ya 90+7 kwenye Uwanja wa Lake Tanganyika mkoani Kigoma

Maryna Rudenko na Civicus Alhamisi, Mei 01, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Mei 01 (IPS) – Civicus anaongea na mwanaharakati wa haki za kijinsia

MAKAHAMA ya Kimataifa ya Usuluhishi wa Michezo (CAS) imeitupa rufani ya Klabu ya Yanga iliyofungua dhidi ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF). Yanga iliwasilisha CAS

TIMU ya Yanga imetwaa ubingwa wa Kombe la Muungano baada ya kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya JKU katika mchezo wa fainali uliochezwa leo

NA WILLIUM PAUL, MOSHI KATA ya Mabogini imepokea kiasi cha shilingi bilioni 1.8 kwa ajili ya ujenzi wa Hospitali ya Wilaya. Hospitali hii ni ya
Na: Calvin Gwabara – Morogoro. Utafiti uliofanywa jijini Dar es salaam na maeneo mengine ya dunia umeonesha kuwa kuwahusisha wanafunzi kwenye shughuli mbalimbali na