Vigogo Afrika waingilia dili la Sowah Yanga

HAKUNA ubishi, straika wa Singida Black Stars, Jonathan Sowah ni kama ameshindikana kwa moto aliouonyesha kupitia mechi 11 za Ligi Kuu Bara akifunga mabao 11 na kiwango hicho kimezifanya timu mbalimbali kuanza kutunishiana misuli kuisaka saini yake kwa msimu ujao, jambo linaloongeza zaidi thamani aliyonayo. Sowah tangu ajiunge na kikosi hicho dirisha dogo la Januari…

Read More

Hatari za kiafya kwa wapendao upweke

Dar es Salaam. Ni vizuri kutaka kuwa peke yako nyakati nyingine, lakini inapofikia kuwa hatua hiyo ndio mtindo wa maisha yako ya kila siku ni hatari. Kujihisi mpweke ni kitu kibaya kiafya kwani huchangia kushusha kinga za mwili. Akieleza tafsiri ya upweke, Mkurugenzi wa kituo cha kushughulikia upweke katika Chuo Kikuu cha Sheffield Hallam huko Uingereza,…

Read More

Mastaa wanne wapishana Yanga | Mwanaspoti

KITAKWIMU ni rasmi kuwa, Yanga imeshafuzu Ligi ya Mabingwa Afrika msimu ujao ikiwa imesaliwa na mechi nne mkononi. Hiyo imewapa kiburi cha kuanza harakati za kufumua kikosi na kupanga hesabu mpya tayari kwa michuano hiyo mikubwa inayotabiriwa kuwa na presha kubwa kwao msimu ujao. Mwanaspoti linajua, mastaa wanne wakiwamo viungo wawili Salum Abubakar ‘Sure Boy’…

Read More

Simba v Mashujaa dakika 90 zenye majibu matatu

ZIMEPITA takribani siku 182 tangu mara ya mwisho Steven Mukwala afunge bao kwa kichwa katika dakika ya 90+7 kwenye Uwanja wa Lake Tanganyika mkoani Kigoma wakati Simba ikiichapa Mashujaa 1-0 katika mchezo wa Ligi Kuu Bara. Hiyo ilikuwa Ijumaa ya Novemba Mosi, 2024. Ijumaa ya leo, timu hizo zinakutana tena katika msako mwingine wa pointi…

Read More

Yanga mabingwa Kombe la Muungano 2025

TIMU ya Yanga imetwaa ubingwa wa Kombe la Muungano baada ya kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya JKU katika mchezo wa fainali uliochezwa leo Mei Mosi, 2025 kwenye Uwanja wa Gombani kisiwani Pemba Maxi Nzengeli ndiye aliyefunga bao pekee lililoipa Yanga ushindi huo dakika ya 45 akimalizia pasi ya Farid Mussa. Kwa kutwaa ubingwa…

Read More