Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: May 2025

  • Home
  • 2025
  • May
  • Page 236
Habari

Chama Cha Mapinduzi kinalaani shambulio dhidi ya Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Padre Dkt. Charles Kitima

May 1, 2025 Admin

 

Read More
Habari

GIZ YATOA MSAADA WA VIFAA TIBA VYENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI 975 KATIKA HALMASHAURI ZA MKO WA TANGA

May 1, 2025 Admin

Na Oscar Assenga, TANGA SERIKALI ya Ujerumani kupitia shirika la ufadhili wa kimataifa nchini humo (GIZ) limetoa msaada wa vifaa tiba vyenye thamani ya shilingi

Read More
Habari

WATUMISHI WA CHUO CHA UTUMISHI WA UMMA TANZANIA KATIKA MAADHIMISHO YA MEI MOSI 2025

May 1, 2025 Admin

Watumishi Chuo Cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC),makao makuu na Kampasi ya Dar es Salaam   wameshiriki katika maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani ‘Mei Mosi’

Read More
Habari

Ilichosema TEC kushambuliwa kwa Padri Kitima

May 1, 2025 Admin

Dar es Salaam. Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), limetaka hatua za haraka kuwabaini na kuwakamata wote waliohusika na shambulizi dhidi ya Katibu Mkuu wa

Read More
Habari

NACTVET yashiriki maadhimisho ya siku ya wafanyakazi

May 1, 2025 Admin

Na Mwandishi Wetu WATUMISHI  wa Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (NACTVET) wameshiriki katika maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi

Read More
Michezo

Mbeya City yarejea Ligi Kuu kwa kishindo

May 1, 2025 Admin

USHINDI wa mabao 5-0 ilioupata Mbeya City dhidi ya Cosmopolitan, umeifanya timu hiyo kutoka jijini Mbeya kurejea Ligi Kuu Bara msimu ujao 2025-2026 baada ya

Read More
Habari

Wafanyakazi wafurahia nyongeza ya mshahara

May 1, 2025 Admin

Dar/mikoani. Wafanyakazi wa umma nchini wamepokea kwa furaha nyongeza ya mshahara wa kima cha chini kutoka Sh370,000 hadi Sh500,000, wakitaja kuwa ni hatua chanya kuelekea kufikia

Read More
Michezo

Nyota Tabora United amzimia Mpanzu

May 1, 2025 Admin

BEKI wa zamani wa Polisi Tanzania na Yanga anayekipiga kwa sasa Tabora United, Yassin Mustafa amemtaja Elie Mpanzu, ndiye winga hatari zaidi katika Ligi Kuu

Read More
Habari

Amuua mwanaye wakigombea koti | Mwananchi

May 1, 2025 Admin

Rombo. Mzee mwenye umri wa miaka 82, mkazi wa kijiji cha Kilema, kata ya Olele, wilayani Rombo, mkoani Kilimanjaro, anadaiwa kumuua na kumzika mwanaye, Oscar

Read More
Kimataifa

Jazz inachukua hatua ya katikati huko Chicago kwa 2026 – Maswala ya Ulimwenguni

May 1, 2025 Admin

tangazo ilikuja kutoka kwa shirika la utamaduni la UN (UNESCO) Jumatano, siku ya mwaka huu ilikuwa ikisherehekewa katika mji mkuu wa Falme za Kiarabu (UAE),

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 235 236 237 … 242 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.