Month: May 2025

Na Oscar Assenga, TANGA SERIKALI ya Ujerumani kupitia shirika la ufadhili wa kimataifa nchini humo (GIZ) limetoa msaada wa vifaa tiba vyenye thamani ya shilingi

Watumishi Chuo Cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC),makao makuu na Kampasi ya Dar es Salaam wameshiriki katika maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani ‘Mei Mosi’

Dar es Salaam. Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), limetaka hatua za haraka kuwabaini na kuwakamata wote waliohusika na shambulizi dhidi ya Katibu Mkuu wa

Na Mwandishi Wetu WATUMISHI wa Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (NACTVET) wameshiriki katika maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi

USHINDI wa mabao 5-0 ilioupata Mbeya City dhidi ya Cosmopolitan, umeifanya timu hiyo kutoka jijini Mbeya kurejea Ligi Kuu Bara msimu ujao 2025-2026 baada ya

Dar/mikoani. Wafanyakazi wa umma nchini wamepokea kwa furaha nyongeza ya mshahara wa kima cha chini kutoka Sh370,000 hadi Sh500,000, wakitaja kuwa ni hatua chanya kuelekea kufikia

BEKI wa zamani wa Polisi Tanzania na Yanga anayekipiga kwa sasa Tabora United, Yassin Mustafa amemtaja Elie Mpanzu, ndiye winga hatari zaidi katika Ligi Kuu

Rombo. Mzee mwenye umri wa miaka 82, mkazi wa kijiji cha Kilema, kata ya Olele, wilayani Rombo, mkoani Kilimanjaro, anadaiwa kumuua na kumzika mwanaye, Oscar

tangazo ilikuja kutoka kwa shirika la utamaduni la UN (UNESCO) Jumatano, siku ya mwaka huu ilikuwa ikisherehekewa katika mji mkuu wa Falme za Kiarabu (UAE),