Bao la Simchimba kuchunguzwa upya na Bodi ya Ligi

UTATA wa bao moja alilonyimwa mshambuliaji wa Geita Gold, Andrew Simchimba limetua kwa Bodi ya Ligi (TPLB) na kwa sasa wanafanya uchunguzi kwa kilichotokea katika mchezo wa Championship dhidi ya Cosmopolitan, Novemba 24, 2024. Nyota huyo ana mabao 19, ingawa katika kumbukumbu za TPLB ameandikiwa 18, kwa kile kilichotokea katika mchezo huo dhidi ya Cosmopolitan…

Read More

Nyongeza ya mishahara Zanzibar yaachwa kwenye mabano

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi, ameitaka wizara husika kushirikiana kwa karibu na vyama vya wafanyakazi pamoja na waajiri, kuendeleza majadiliano ya kina na ya mara kwa mara ili kuhakikisha hoja na changamoto zinazowakabili wafanyakazi zinapatiwa suluhisho la kudumu. Ametoa maagizo hayo wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi), yaliyofanyika kitaifa…

Read More

Nyongeza ya mishahara Zanzibar yaachwa kwenye mabano

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi, ameitaka wizara husika kushirikiana kwa karibu na vyama vya wafanyakazi pamoja na waajiri, kuendeleza majadiliano ya kina na ya mara kwa mara ili kuhakikisha hoja na changamoto zinazowakabili wafanyakazi zinapatiwa suluhisho la kudumu. Ametoa maagizo hayo wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi), yaliyofanyika kitaifa…

Read More

GCLA YAPATA TUZO MAONESHO OSHA

Watumishi wa Mamlaka kutoka kulia ni Judith Lema, Saile Kurata, Emanuel Lewanga na Benny Migire wakiwa wameshika Tuzo na Cheti cha Mshindi wa Pili baada ya kuibuka washindi wa pili kwenye kipengele cha Shughuli za Kitaaluma, za Kisayansi na Kiufundi katika Maonesho ya Kitaifa ya Usalama na Afya Mahala pa Kazi yaliyofanyika katika viwanja vya…

Read More

Ronaldinho, Kaka kukipiga Zanzibar | Mwanaspoti

MASHABIKI wa soka Zanzibar na Afrika kwa ujumla, wakae tayari kushuhudia tukio la Kihistoria litakalofanyika Julai 27, 2025, kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, kupitia “The Match of the Legends” inayowaleta mastaa wakongwe wa Brazil wakiongozwa na Ronaldinho Gaúcho, Kaká na Julio Cesar. Tukio hili la kihistoria linakuja kama sehemu ya maadhimisho ya ‘Brazil Week’,…

Read More

Serikali kutambulisha leseni mpya ya uzalishaji wa chumvi

Dodoma. Serikali ipo mbioni kutambulisha leseni mpya ya uzalishaji wa chumvi ili kuiondoa bidhaa hiyo katika kundi la madini mengine hivyo, kuchochea ukuaji wa tasnia ya uzalishaji chumvi nchini Tanzania. Hayo yamesemwa leo jijini Dodoma wakati wa kikao kazi cha Waziri wa Madini, Anthony Mavunde na uongozi wa Chama cha Wazalisha Chumvi Tanzania (Taspa), ambacho…

Read More

Dar City kuachia kikosi kabla ya Mei 8

KOCHA Mkuu wa Dar City, Mohamed Mbwana amesema atatangaza kikosi kitakachoshiriki Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), kabla ya kufungwa dirisha la usajili Mei 8. Mbwana aliliambia Mwanaspoti, wachezaji wapya na wa zamani walioongezewa mikataba nao watatangazwa siku hiyo. Hata hivyo, hakutaka kudokeza majina ya wachezaji wapya na kusisitiza yatatangazwa kabla ya…

Read More

CCM yalaani shambulio la Padri Kitima, Polisi yaagizwa

Dar es Salaam. Chama cha Mapinduzi (CCM), kimelaani shambulio dhidi ya na Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Padri Charles Kitima kikisema ni tukio la kihalifu. Chama hicho kimekwenda mbali na kutoa maagizo kwa Jeshi la Polisi kuhakikisha wahusika wote wa shambulio dhidi ya kiongozi huyo wa dini wanatiwa nguvuni. Kwa sasa,…

Read More