‘Mrema ameanza, wengine watafuata Chadema’

Dar es Salaam. Kufukuzwa uanachama wa Chadema kwa John Mrema ni utekelezaji wa mkakati wa ndani wa chama hicho, unaodaiwa kufanywa na ngazi ya chini, ukilenga kuwashughulikia makada wote wanaounda kundi la G55. Taarifa ambazo Mwananchi inazo zinadai mkakati uliopo ni kuwashughulikia G55 kupitia matawi yao. Katika kuhakikisha hilo, kuna timu ya watu wasiopungua watatu…

Read More

‘Mrema ameanza, wengine watafuata’ | Mwananchi

Dar es Salaam. Kufukuzwa uanachama wa Chadema kwa John Mrema ni utekelezaji wa mkakati wa ndani wa chama hicho, unaodaiwa kufanywa na ngazi ya chini, ukilenga kuwashughulikia makada wote wanaounda kundi la G55. Taarifa ambazo Mwananchi inazo zinadai mkakati uliopo ni kuwashughulikia G55 kupitia matawi yao. Katika kuhakikisha hilo, kuna timu ya watu wasiopungua watatu…

Read More

EfG YATOA MAFUNZO YA USAWA WA KIJINSIA, UONGOZI NA HAKI ZA KIRAIA KWA WANAWAKE WAFANYABIASHARA SOKONI SHINYANGA

Afisa Miradi wa EfG, Bi. Susan Sitta Na Kadama Malunde – Malunde 1 Blog Shirika lisilo la kiserikali la Equality for Growth (EfG) limeendesha mafunzo kuhusu Usawa wa Kijinsia, Uongozi na Haki za Kiraia kwa wanawake wafanyabiashara wa masoko mbalimbali katika Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga. Mafunzo hayo ya siku mbili (Mei 1-2, 2025) yanafanyika…

Read More

Rekodi yamsubiri Mzize Ufaransa | Mwanaspoti

KIWANGO bora kinachoonyeshwa na mshambuliaji wa Yanga, Clement Mzize kimezivutia timu mbalimbali kusaka saini yake, huku ikielezwa nyota huyo anayeongoza kwa mabao ya Ligi Kuu Bara akiwa na 13 anakaribia kujiunga na miamba kutoka Ufaransa. Meneja wa Habari wa Yanga, Ally Kamwe hivi karibuni alinukuliwa akieleza mshambuliaji huyo msimu ujao ataenda kucheza soka la Ufaransa…

Read More

SRRH yashtuka, kuanzisha Fitness Club

Mganga Mfawidhi wa  hospitali hiyo, Dk John Luzila amesema hayo jana wakati wa maandalizi ya kuadhimisha Siku ya Wafanyakazi Duniani inayofanyika leo Mei Mosi, ambapo aliweka bayana kwamba lengo ni kufanya mwendelezo wa kuboresha afya za watumishi wa SRRH. Dk Luliza ameyasema hayo baada ya mazoezi ya viungo na kupanda miti katika hospitali ya mkoa…

Read More

EFG YATOA MAFUNZO YA USAWA WA KIJINSIA, UONGOZI NA HAKI ZA KIRAIA KWA WANAWAKE WAFANYABIASHARA MANISPAA YA SHINYANGA

Afisa Miradi wa EfG, Bi. Susan Sitta Na Kadama Malunde – Malunde 1 Blog Shirika lisilo la kiserikali la Equality for Growth (EfG) limeendesha mafunzo kuhusu Usawa wa Kijinsia, Uongozi na Haki za Kiraia kwa wanawake wafanyabiashara wa masoko mbalimbali katika Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga. Mafunzo hayo ya siku mbili (Mei 1-2, 2025) yanafanyika…

Read More

Rais Samia atangaza kuongeza mishahara kwa wafanyakazi

Katika kuboresha hali na ustawi wa wafanyakazi nchini, Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametangaza kuongeza kima cha chini cha mshahara kwa watumishi wa umma kwa asilimia 35.1. Nyongeza hiyo itaanza kutumika Julai 2025 kwa kima cha chini kutoka Sh370,000 hadi Sh500,000 huku akitoa tumaini kwa ngazi nyingine pia zitapanda kwa kiwango kizuri kwa jinsi…

Read More