Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: May 2025

  • Home
  • 2025
  • May
  • Page 24
Habari

OFISI YA TRA MBULU KUJENGWA 2026/27

May 28, 2025 Admin

Naibu Waziri wa Fedha Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb), akijibu swali la  Mbunge wa Mbulu Mjini, Mhe. Zacharia Paulo Issaay, aliyetaka kujua mpango wa Serikali

Read More
Habari

Teknolojia ya IIT Madras kuibua fursa za ajira Zanzibar

May 28, 2025 Admin

Unguja. Kutokana na umuhimu wa teknolojia katika dunia ya sasa, Chuo Kikuu cha Teknolojia cha IIT Madras tawi la Zanzibar kimeanza kutoa mafunzo kwa vijana

Read More
Habari

WAZIRI MKUU AENDELEA KUWASHAWISHI WAJAPAN KUWEKEZA NCHINI

May 28, 2025 Admin

 ,::::::: WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ameendelea kuwashawishi wawekezaji na wafanyabiashara wakubwa wa Japan kuja kuwekeza kwenye sekta za kilimo, afya, uchumi wa buluu, nishati, miundombinu,

Read More
Habari

Dk Tulia kupenya Uyole? Haya hapa yanayomsubiri

May 28, 2025 Admin

Mbeya. Pamoja na kutabiriwa ushindi, lakini baadhi ya wananchi, wadau na wachambuzi wa siasa jijini Mbeya, wamesema uamuzi wa Dk Tulia Ackson kugombea jimbo la

Read More
Michezo

Coastal Union yaanza na Chikola, Bwenzi

May 28, 2025 Admin

WAKATI msimu huu ukielekea ukingoni, klabu mbalimbali zinazoshiriki Ligi Kuu Bara zimeanza hesabu mapema za kuimarisha vikosi vyao kwa ajili ya msimu ujao ambapo inaelezwa

Read More
Habari

Rais Ruto Aomba Radhi Kwa Tanzania Kwa Kinachoendelea – Video – Global Publishers

May 28, 2025 Admin

  Rais wa Kenya, William Ruto amewaomba radhi Watanzania na kueleza kwamba kama kuna jambo Wakenya wamekosewa, wasamehewe. Pia amewaomba radhi wananchi

Read More
Habari

Tanzania mwenyeji mkutano wa Shirika la Viwango Afrika ARSO, nchi 50 kushiriki

May 28, 2025 Admin

Unguja. Mkutano Mkuu wa Shirika la Viwango Barani Afrika (ARSO) unatarajiwa kuhudhuriwa na zaidi ya washiriki 300, wakiwemo wadau wa viwango kutoka nchi zaidi ya

Read More
Michezo

‘Ni feitoto na mzize tu’

May 28, 2025 Admin

MSHAMBULIAJI wa Tanzania Prisons, Jeremiah Juma amesema kati ya wachezaji wazawa waliofanya vizuri kwa msimu huu ni Feisal Salum ‘Fei Toto’ anayeitumikia Azam. Mbali na

Read More
Habari

Majaliwa aendelea kuwashawishi Wajapan kuwekeza nchini

May 28, 2025 Admin

Tokyo. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameendelea kuwashawishi wawekezaji na wafanyabiashara wakubwa wa Japan kuja kuwekeza nchini kwenye sekta za kilimo, afya, uchumi wa buluu, nishati,

Read More
Michezo

Yanga yalaani vitendo viovu walivyofanyiwa mashabiki wao fainali CAFCC

May 28, 2025 Admin

Klabu ya Yanga imesikitishwa na kulaani vikali vitendo vya kupigwa, kuchaniwa jezi na kufukuzwa uwanjani kwa mashabiki wao katika mchezo wa fainali wa Kombe la

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 23 24 25 … 242 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.