OFISI YA TRA MBULU KUJENGWA 2026/27
Naibu Waziri wa Fedha Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb), akijibu swali la Mbunge wa Mbulu Mjini, Mhe. Zacharia Paulo Issaay, aliyetaka kujua mpango wa Serikali wa kujenga Ofisi ya TRA katika Wilaya ya Mbulu, jijini Dodoma. (Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini- Wizara ya Fedha) …………………. Na. Josephine Majura, WF, Dodoma Naibu Waziri wa Fedha…