WAFANYAKAZI ETDCO WAAHIDI UTENDAJI WENYE UFANISI

Wafanyakazi wa Kampuni ya Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Usafirishaji na Usambazaji wa Umeme (ETDCO) wakionyesha mshikamano wao kwa kubeba bango wakati wa maandamano ya kuadhimisha Siku ya Wafanyakazi Duniani, yaliyofanyika leo Mei 1, 2025 katika Viwanja vya Tanganyika Packers, Kawe Jijini Dar es Salaam.  Picha za matukio mbalimbali ya Wafanyakazi wa Kampuni ya…

Read More

Japan, Tanzania zaikumbuka sekta ya mpunga

Dodoma. Wakati uzalishaji wa zao la mpunga ukiongezeka kwa asilimia tano kutoka mwaka 2010, wadau nchini wametakiwa kuzichangamkia fursa zinazopatikana kwenye mnyororo mzima wa thamani wa zao hilo ambalo ni la pili kwa kukua kwa kasi. Hayo yamebainishwa na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo anayesimamia Maendeleo ya Mazao na Usalama wa Chakula, Dk…

Read More

Mwabukusi asimulia saa chache kabla Padri Kitima kushambuliwa

Dar es Salaam. Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Boniface Mwabukusi amesimulia kile ambacho walikuwa wakikifanya siku nzima na Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Padri Charles Kitima kabla ya kushambuliwa. Padri Kitima amelazwa hospitalini hapo baada ya kushambuliwa na kitu butu kichwani usiku wa jana Jumatano, Aprili 30, 2025. Shambulio…

Read More

NMB Yadhamini na Kushiriki Kilele cha Maadhimisho ya Mei Mosi Kitaifa Singida

Na mwandishi wetu. Benki ya NMB imedhihirisha tena nafasi yake kama Mwajiri Kinara nchini kwa kudhamini na kushiriki kikamilifu katika maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi), yaliyofanyika kitaifa mkoani Singida. Maadhimisho hayo yamehudhuriwa na maelfu ya wafanyakazi kutoka sekta mbalimbali nchini, yakiwemo mashirika ya umma na binafsi, taasisi na vyama vya wafanyakazi, yakilenga…

Read More

ILO yataja tishio la ajira namna ya kukabiliana nalo

Singida. Shirika la Kazi Duniani (ILO) limetaja mageuzi ya kiteknolojia, ujio wa Akili Mnemba (AI), mabadiliko ya tabianchi na ongezeko la idadi ya watu kuwa ni miongoni mwa changamoto zinazotishia ustawi wa ajira, uchumi na nishati duniani. Kauli hiyo imetolewa leo Mei Mosi, 2025, katika maadhimisho ya kitaifa ya Siku ya Wafanyakazi Duniani, na Mkurugenzi…

Read More

WAKILI MWAMBUKUSI AMTEMBELEA FATHER KITIMA

Father Dkt. Charles Kitima ………. Asema hatutakiwi kuogopa gharama za Kusimamia Haki Dar. Rais wa Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS), Boniface Mwabukusi amtembelea Father Dkt. Charles Kitima. na kusema kuwa hakika lilikuwa shambulio baya lenye lengo la kudhulumu maisha. Kupitia mtandao wake wa kijamii Wakili Mwambusj ameandika; ‘Mungu ni mwema sana anaendelea vizuri.Huu ni Ujumbe…

Read More