Dar es Salaam. Mahakama Kuu, Masjala ndogo ya Dar es Salaam, imewahukumu adhabu ya kifo, watu wawili waliovamia Benki mbili za CRDB na Benki ya
Month: May 2025

Dar es Salaam. Unaweza kusema ni mauaji yaliyoacha kitendawili cha sababu hasa ya aliyeyatekeleza kuchukua uamuzi huo. Inaelezwa Richard Yakobo, alinunua lita tatu za petroli

Wafanyakazi wa Kampuni ya Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Usafirishaji na Usambazaji wa Umeme (ETDCO) wakionyesha mshikamano wao kwa kubeba bango wakati wa maandamano

Mwanza. Ripoti ya ufuatiliaji wa vitendo vya rushwa uliofanywa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (Takukuru) imebaini ongezeko la vitendo vya rushwa

Dodoma. Wakati uzalishaji wa zao la mpunga ukiongezeka kwa asilimia tano kutoka mwaka 2010, wadau nchini wametakiwa kuzichangamkia fursa zinazopatikana kwenye mnyororo mzima wa thamani

Dar es Salaam. Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Boniface Mwabukusi amesimulia kile ambacho walikuwa wakikifanya siku nzima na Katibu Mkuu wa Baraza la

Na mwandishi wetu. Benki ya NMB imedhihirisha tena nafasi yake kama Mwajiri Kinara nchini kwa kudhamini na kushiriki kikamilifu katika maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi

Singida. Shirika la Kazi Duniani (ILO) limetaja mageuzi ya kiteknolojia, ujio wa Akili Mnemba (AI), mabadiliko ya tabianchi na ongezeko la idadi ya watu kuwa

Father Dkt. Charles Kitima ………. Asema hatutakiwi kuogopa gharama za Kusimamia Haki Dar. Rais wa Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS), Boniface Mwabukusi amtembelea Father Dkt.

::::::: Na Daniel Limbe,Chato ASKOFU wa Kanisa Katoliki Jimbo la Rulenge Ngara, Severine Niwemugizi, ameitaka serikali pamoja na