Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo amesema bado Buchosa anayoitaka haijatimia licha ya mafanikio makubwa yaliyopatikana katika kipindi chake cha miaka mitano akiwa
Month: May 2025

NI kama fainali ya kuviziana, kwani kila upande unataka kufanya vizuri ili uongeze au uweke rekodi. Kikosi cha Yanga usiku wa leo Alhamisi kitakuwa uwanjani

WABABE wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL), KMKM na Mlandege, jioni ya leo Jumatano zimetinga nusu fainali ya michuano ya Kombe la Shirikisho la Zanzibar (ZFF

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), amebaini Sh21.97 bilioni, sawa na asilimia 95 hazikutolewa na Serikali kwa ajili ya utekelezaji bajeti ya

Katika hatua ya kuburudisha wapenzi wa michezo ya kubahatisha nchini Tanzania, kampuni ya SportPesa inawakaribisha wote kucheza mchezo mpya wa kusisimua mpya wa kusisimua uitwao

Dar es Salaam. Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Askofu Wolfgang Pisa amesema Padri Charles Kitima ameshambuliwa kwa kupigwa na kitu kizito kichwani

MIMI na wenzangu hapa kijiweni hatujui na hatuna uhakika kama Simba itatetemesha Afrika kwa kutwaa ubingwa wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya RS Berkane

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan Akishiriki Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani inayoadhimishwa Mkoani Singida kitaifa,

Huduma za mikopo ya kidijitali zimeleta mapinduzi katika upatikanaji wa mikopo, kwa kurahisisha mchakato hadi kufikia hatua ambapo mkopaji anaweza kupata fedha ndani ya sekunde

Leo ni Sikukuu ya Wafanyakazi, siku ya mapumziko na fursa ya kutafakari malipo yanayotokana na kazi yetu, mshahara. Sikukuu hii inatukumbusha kusherehekea michango ya wafanyakazi