ACT Wazalendo walaani shambulio Padri Kitima
Dar es Salaam. Chama cha ACT Wazalendo kimelaani kushambuliwa kwa Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Padri Charles Kitima wakitaka hatua za haraka kwa wahusika tukio hilo. Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro amesema Padri Kitima ameshambuliwa usiku wa jana Jumatano, Aprili 30, 3035…