Mabalozi wakubali kuwekeza Dodoma wakieleza ardhi inafaa

Dodoma. Serikali imewaita mabalozi kutambua umuhimu wa kuwekeza katika Jiji la Dodoma, kwani ndiyo eneo pekee linalowafaa kwa sasa. Wito huo umetolewa jana na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Mahmoud Thabiti Kombo alipokuwa akizungumza na mabalozi kwenye hafla na ziara iliyopewa jina la ‘Diplomatic Capital City Tour’. Balozi Kombo amesema…

Read More

Rais Ruto awaomba msamaha Watanzania

Dar es Salaam. Rais wa Kenya, William Ruto amewaomba msamaha Watanzania na Waganda kama kuna jambo lolote ambalo nchi hiyo imekosea. Rais Ruto ameyaomba radhi mataifa hayo leo Jumatano Mei 28, 2025, wakati wa Ibada Maalumu ya kuliombea taifa hilo iliyofanyika eneo la Safari Park nchini humo. Akinukuu Biblia, Ruto amesema nchi yoyote isiyo na shukurani…

Read More

Trump aibua mapya kuhusu Putin, ‘anacheza na moto’

Washington. Rais wa Marekani, Donald Trump ametoa onyo kwa Rais Vladimir Putin wa Russia kitendo cha kukwamisha jitihada za kumaliza vita yake na Ukraine ni sawa na kusema kuwa ‘anacheza na moto’. Matamshi hayo ya Trump yamekuja baada ya kumkosa kiongozi hiyo wa Russia baada ya Putin kuamuru utekelezwaji wa mashambulizi mapya ya anga nchini…

Read More

RAIS SAMIA AONGEZA AJIRA MPYA 300 TRA

 ::::::::: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dk. Samia Suluhu Hassan ameridhia kuongeza ajira mpya 300 za Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na kufanya jumla ya ajira zote kufikia 1,896 kutoka 1,596 zilizotangazwa awali. Nyongeza hiyo imetokana na ombi la TRA la kuongeza nafasi za ajira 300 ambazo zilikasimiwa kwenye Bajeti ya Mwaka…

Read More

Kerry’s East Africa CEO Forum Unites 100 F&B Leaders to Reshape the Industry’s Future Through Insights and Innovation

In partnership with Strathmore Agri-Food Innovation Center (SAFIC), Kerry leads inaugural CEO Forum to drive sustainable growth, regional collaboration, and innovation in Africa’s food and beverage sector. Nairobi, Kenya, 14 May 2025 In a contribution towards transforming East Africa’s food and beverage landscape, Kerry, a global leader in taste and nutrition, in collaboration with Strathmore…

Read More