Huu hapa mkakati wa kuisuka upya Chaumma

Dar es Salaam. Baada ya kufuru ya mikutano katika kumbi ghali na kupokea maelfu ya wanachama, mwelekeo wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma) kwa sasa ni kukisuka upya chama hicho, kifikie hadhi ya kuwa chama kikuu cha upinzani. Kwa mujibu wa Naibu Katibu Mkuu Bara wa chama hicho, Benson Kigaila, ingawa Chaumma ina umri…

Read More

WAZIRI MKENDA AVALIA NJUGA SAKATA LA MADEREVA KWENDA QATAR

Watu wanaowapeleka madereva kufanya kazi nje ya nchi wanawajibu wa kufanya utafiti kujua mahitaji ya eneo wanaloenda ni yapi tofauti na mahitaji ya magari ya Tanzania. Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe Profesa Adolf Mkenda amesema hayo jijini Dodoma wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mafanikio ya Wizara hiyo katika miaka minne ya…

Read More

Ukweli daima ni msingi na nguzo ya uongozi bora

Moja ya tabia njema muhimu maishani ni kusema ukweli na kuukubali, hata pale ambapo ladha yake haipendezi au pale ambako kuna sababu za kuuchukia. Tabia ya kuwa mkweli ni nguzo ya msingi katika uongozi bora, iwe ndani ya familia, darasani, katika jamii, taasisi au hata taifa. Ndiyo maana ukweli ni msingi wa utawala bora na…

Read More