Viongozi barani Afrika wanakwama wapi?

Dar es Salaam. Hivi unajua kuwa Afrika ndilo bara pekee lenye zaidi ya asilimia 30 ya rasilimali zote za asili duniani? lakini ndilo bara lenye idadi kubwa ya watu masikini duniani. Ukwasi huo wa rasilimali uliopo Afrika, hauakisi utajiri wa kiuchumi na maendeleo katika bara hilo kama inavyoeleza Ripoti ya Benki ya Dunia ya mwaka…

Read More

NIKWAMBIE MAMA: Acheni siasa za mchelea mwana kulia…

Malezi yana athari ya kudumu maishani mwa mwanadamu. Tofauti ya watu inayoonekana leo inasababishwa kwa kiasi kikubwa na malezi yao tangu utotoni. Kwa jinsi hii unaweza kuwatofautisha watu wa jamii tofauti, lakini pia hata wa jamii moja waliolelewa tofauti. Chukulia mmoja alilelewa kwa kufuatana na mila na desturi za kabila lake, na mwingine akalelewa kuendana…

Read More

Hivi ni Askofu Gwajima huyuhuyu ninayemfahamu au…

Namsikiliza Josephat Gwajima, mbunge wa Kawe na Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima. Unatafakari hoja yake kuhusu vitendo vya utekaji. Unamwelewa, unaona anayo hoja. Matukio ya kuchukuliwa na watu kupotea, ni mabaya, ni aibu kwa nchi. Nataka kumpongeza, nakumbuka ni Gwajima huyohuyo aliyewapanga wananchi wa Kawe, kuwa endapo wangemchagua awe mbunge wao, angewapeleka Greater…

Read More

Saa 72 za mtego Simba

DAKIKA 90 zilizopita zilikuwa na maumivu makali kwa Simba baada ya kushuhudia ikipoteza nafasi ya kubeba ubingwa wa Kombe la Shirikisho Afrika kufuatia sare ya bao 1-1 dhidi ya RS Berkane kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar. Sare hiyo iliifanya Simba kupoteza fainali kwa jumla ya mabao 3-1 baada ya ugenini kufungwa 2-0. Baada…

Read More

Percy Tau mezani Yanga | Mwanaspoti

DAU la kuvutia walilopata baada ya kuondoka kwa Stephane Aziz KI Yanga, kumeifanya klabu hiyo mapema kuingia sokoni kumsaka mbadala wake ambapo hadi sasa ina majina ya wachezaji wawili walio kwenye hatua nzuri ya kumalizana nao. Yanga imemuuza Aziz KI kwenda Wydad Casablanca ya Morocco na tayari nyota huyo ameondoka akiiacha timu hiyo ikimalizia Ligi…

Read More

Mfumo wa Marubani wa Kenya AI Kulinda ndama wa Rhino Nyeusi katika Hifadhi ya Kitaifa ya Aberdare – Maswala ya Ulimwenguni

Timu ya ufungaji inaweka mfumo wa kugundua AI ndani ya Hifadhi ya Kitaifa ya Aberdare, na Ranger ya Huduma ya Wanyamapori ya Kenya (KWS) wakitazama karibu. Mikopo: Chemtai Kirui/IPS na Chemtai Kirui (Aberdare, Kenya) Jumanne, Mei 27, 2025 Huduma ya waandishi wa habari ABERDARE, Kenya, Mei 27 (IPS) – Wanaohifadhi katika Hifadhi ya Kitaifa ya…

Read More