Rombo. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Bara, John Heche amesema wanahitaji mabadiliko ya sheria za uchaguzi ili Rais Samia Suluhu Hassan
Month: May 2025

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro linafanya uchunguzi kuhusu tukio linalomhusisha mtoto wa miaka 10, mwanafunzi wa darasa la tano, anayedaiwa kuiba

Farida Mangube, Morogoro Balozi wa Denmark nchini Tanzania, Jesper Kamp, ameipongeza Tanzania kwa hatua kubwa ilizopiga katika kuwawezesha vijana kujiajiri kupitia sekta ya mifugo, hatua

Dodoma. Kutokana na ongezeko la matukio ya kuvunjika kwa ndoa nchini, Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Makundi Maalumu imeandaa mkakati mahsusi wa kukabiliana

Dar es Salaam. Wakati Chadema, wakitoa msimamo wa kutojibu barua ya msajili wa vyama vya siasa, msajili huyo ameeleza hatua atakazochukua baada ya chama hicho

Dodoma. Wabunge wameishinikiza Serikali kuweka msimamo thabiti katika kuwalinda watoto na kizazi cha sasa, wakieleza kuwa maadili yameendelea kuporomoka kwa kiwango cha kutisha. Baadhi yao

Dar es Salaam. Kusainiwa kwa mkataba wa Sh28 bilioni kwa ajili ya ujenzi wa kituo cha kisasa cha upandikizaji wa figo na mafunzo mjini Dodoma

Dar es Salaam. Benki ya TCB imeandika historia mpya baada ya kutangaza kupata faida ya Sh48 bilioni kabla ya kodi kwa mwaka 2024, mafanikio makubwa

Na WILLIUM PAUL, MOSHI. WAKULIMA wa Mpunga wa kijiji cha Mandaka Mnono katika Kata ya Oldmoshi Magharibi mbioni kunufaika na mradi mkubwa wa umwagiliaji ambao

Songwe. Wanawake wa Kijiji cha Nyimbili Kata ya Nyimbili, Wilaya ya Mbozi Mkoa wa Songwe wamesema uwepo wa ujira kupitia mashamba ya kilimo mseto na