Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: May 2025

  • Home
  • 2025
  • May
  • Page 29
Michezo

Samia asimame hapo, Lissu pale mechi dakika 90 – Heche

May 27, 2025 Admin

Rombo. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Bara, John Heche amesema wanahitaji mabadiliko ya sheria za uchaguzi ili Rais Samia Suluhu Hassan

Read More
Habari

Mtoto mbaroni akidaiwa kuiba gari la mwalimu

May 27, 2025 Admin

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro linafanya uchunguzi kuhusu tukio linalomhusisha mtoto wa miaka 10, mwanafunzi wa darasa la tano, anayedaiwa kuiba

Read More
Habari

DENMARK NA NCHI WASHIRIKA ZAIPONGEZA SUGECO KWA UWEZESHAJI VIJANA SEKTA YA MIFUGO

May 27, 2025 Admin

Farida Mangube, Morogoro Balozi wa Denmark nchini Tanzania, Jesper Kamp, ameipongeza Tanzania kwa hatua kubwa ilizopiga katika kuwawezesha vijana kujiajiri kupitia sekta ya mifugo, hatua

Read More
Burudani

Wizara yatenga Sh10 bilioni kushughulikia migogoro ya ndoa

May 27, 2025 Admin

Dodoma. Kutokana na ongezeko la matukio ya kuvunjika kwa ndoa nchini, Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Makundi Maalumu imeandaa mkakati mahsusi wa kukabiliana

Read More
Habari

Msajili atangaza kuinyima ruzuku Chadema, wenyewe wajibu…

May 27, 2025 Admin

Dar es Salaam. Wakati Chadema, wakitoa msimamo wa kutojibu barua ya msajili wa vyama vya siasa, msajili huyo ameeleza hatua atakazochukua baada ya chama hicho

Read More
Burudani

Wabunge wataka mkono wa sheria kwa wasanii wenye mavazi ya aibu

May 27, 2025 Admin

Dodoma. Wabunge wameishinikiza Serikali kuweka msimamo thabiti katika kuwalinda watoto na kizazi cha sasa, wakieleza kuwa maadili yameendelea kuporomoka kwa kiwango cha kutisha. Baadhi yao

Read More
Habari

Kituo cha kupandikiza figo, mafunzo kujengwa Tanzania

May 27, 2025 Admin

Dar es Salaam. Kusainiwa kwa mkataba wa Sh28 bilioni kwa ajili ya ujenzi wa kituo cha kisasa cha upandikizaji wa figo na mafunzo mjini Dodoma

Read More
Habari

TCB yatangaza gawio kwa wanahisa wake, yapata faida ya Sh48 bilioni

May 27, 2025 Admin

Dar es Salaam. Benki ya TCB imeandika historia mpya baada ya kutangaza kupata faida ya Sh48 bilioni kabla ya kodi kwa mwaka 2024, mafanikio makubwa

Read More
Habari

MRADI WA UMWAGILIAJI MPUNGA WA MANDAKA MNONO KATA YA OLDMOSHI MAGHARIBI KULETA KILIMO CHA UHAKIKA KWA MISIMU YOTE.

May 27, 2025 Admin

Na WILLIUM PAUL, MOSHI.  WAKULIMA wa Mpunga wa kijiji cha Mandaka Mnono katika Kata ya Oldmoshi Magharibi mbioni kunufaika na mradi mkubwa wa umwagiliaji ambao

Read More
Habari

Wananchi wasimulia kilimo mseto kilivyowanusuru na utegemezi

May 27, 2025 Admin

Songwe. Wanawake wa Kijiji cha Nyimbili  Kata ya Nyimbili,  Wilaya ya Mbozi Mkoa wa Songwe wamesema uwepo wa ujira kupitia mashamba ya kilimo mseto na

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 28 29 30 … 242 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.