Lema: Uamuzi wangu kumuunga mkono Lissu ulikuwa wa kimungu

Moshi. Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema, Godbless Lema, amesema uamuzi wake wa kumuunga mkono Tundu Lissu aliyeshinda uenyekiti wa chama hicho, katika uchaguzi mkuu wa ndani uliofanyika Januari 21, 2025, ulikuwa wa Kimungu na baraka. Amesema licha ya kutoka eneo moja (Machame-Hai) na Freeman Mbowe, lakini katika demokrasia aliamiani kwa Lissu, akisema uamuzi huo…

Read More

Mtanzania ateuliwa kuwa Mkuu wa Baraza la Upendo Vatican

Dar es Salaam. Baba Mtakatifu, Leo XIV amemteua Romanus Mbena kuwa Mkuu wa Ofisi ya Baraza la Kipapa la Huduma ya Upendo, nafasi yenye hadhi kubwa katika Kanisa Katoliki duniani, yenye jukumu la kusimamia misaada na huduma za kichungaji kwa maskini na wahitaji. Taarifa kutoka Vatican zinasema uteuzi huo unaanza rasmi Juni 1, 2025, huku Mbena akichukua…

Read More

Polisi yasisitiza matumizi sahihi ya bunduki

Serengeti. Askari wote nchini hasa wanaokaa na bunduki wametakiwa kuzingatia matumizi sahihi ya silaha hizo ili kuepuka madhara yanayoweza kutokea ikiwa  pamoja na mauaji ya binadamu kwa kutumia bunduki hizo kinyume cha utaratibu. Maagizo hayo yametolewa wilayani Serengeti leo Jumamosi Mei 31 2025 na Mkuu wa Chuo cha Taaluma ya Polisi, Lazaro Mambosasa wakati akifunga…

Read More

Wananchi walia bei ya samaki kupaa Mtwara

Mtwara. Bei ya samaki katika soko la feli lililopo ndani ya Manispaa ya Mtwara Mikindani imepanda kwa kasi, huku wauzaji wakieleza kuwa hali hiyo imesababishwa na upatikanaji mdogo wa samaki kutokana na hali mbaya ya hewa, hususan upepo mkali unaovuma baharini. Wakizungumza leo Mei 31, 2025, baadhi ya wafanyabiashara wa samaki wameeleza kuwa kutokana na…

Read More

Vifo vya wajawazito na watoto vyapungua Pwani

Kibaha. Jitihada za wauguzi katika Mkoa wa Pwani zimezaa matunda katika kuboresha huduma za afya, baada ya kufanikisha kupungua kwa vifo vya wajawazito na watoto wachanga kati ya mwaka 2017 hadi 2024. Taarifa hiyo imesomwa leo Mei 31, 2025, mjini Kibaha wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wauguzi Duniani kwa ngazi ya Mkoa wa Pwani….

Read More

Aziz KI kuanza na FC Porto leo usiku

BAADA ya kuukosa mchezo wa kwanza wa kirafiki ambao Wydad Athletic Club ilicheza dhidi ya Sevilla, hatimaye leo Mei 31, 2025 kiungo mshambuliaji, Stephane Aziz KI amejumuishwa kwenye kikosi kitakachoikabili FC Porto ya Ureno. Aziz KI aliyetua Wydad hivi karibuni kwa mkataba wa miaka miwili akitokea Yanga, wakati kikosi hicho kinapoteza mbele ya Sevilla kwa…

Read More