Tanzania yaongeza kasi utafiti wa mafuta maeneo mawili

Dar es Salaam. Mkurugenzi wa Mkondo wa Juu wa Petroli (Pura), Charles Sangweni amesema wameongeza kasi ya utafiti wa kina katika maeneo ambayo wanaamini kuwapo kwa viashiria vya mafuta nchini, ikiwemo Eyasi-Wembele na Ziwa Tanganyika. Wakati hilo likifanyika, pia, Pura imeita wawekezaji wenye nia ya kuwekeza katika sekta ya gesi na mafuta kuchangamkia fursa iliyopo…

Read More

Mabelo 2,681 ya Sh1.4 bilioni yakamatwa Tabora

Tabora. Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Tabora imekamata jumla ya mabelo ya magunia ya kufungia Tumbaku maarufu kama Majafafa yenye thamani ya Sh1.4 bilioni. Akitoa taarifa ya utendaji kazi wa taasisi hiyo kwa kipindi cha Januari hadi Machi mwaka huu Mkuu wa Takukuru Mkoa wa Tabora, Azza Mtaita amesema magunia…

Read More

Ficha nambari, dhibiti ujumbe – maswala ya ulimwengu

Chanzo: Umoja wa Mataifa. Maoni na Joseph Chamie (Portland, USA) Jumanne, Mei 27, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Portland, USA, Mei 27 (IPS) – Hapo zamani, Shakespeare aliandika kwa furaha katika mchezo wake Henry VI Kwamba hatua ya kwanza kwa wale wanaotafuta madaraka ilikuwa “kuua mawakili”. Leo, hatua ya kwanza iliyochukuliwa na wale wanaotafuta…

Read More

Adaiwa kujinyonga kisa Sh300,000 alizompa mkewe

Arusha. Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Thadei Nnko (67) mfanyabiashara wa vyuma chakavu na mkazi wa kata ya Sinon jijini Arusha amejinyonga kwa kile kinachodaiwa kusababishwa na deni la Sh300,000 analomdai mkewe. Kwa mujibu wa mashuhuda, marehemu alimpa mkewe fedha hizo kwa ajili ya kununua mzigo wa vyuma chakavu, lakini baadaye akaja tena kuitaka…

Read More

Rungwe atoa kauli muasisi wa Chaumma kujiengua

Dar es Salaam. Wakati aliyekuwa mmoja wa waasisi wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Eugene Kabendera akitangaza kukihama  bila kutaja jukwaa analokwenda, mwenyekiti wa chama hicho, Hashimu Rungwe amesema kila jambo na wakati wake. Jina la Kabendera ni kati ya manane ya waanzilishi wa chama hicho kilichosajiliwa Juni 2012 na kupata usajili wake wa…

Read More

Rungwe azungumza baada ya  Kabendera kujiengua Chaumma

Dar es Salaam. Wakati aliyekuwa mmoja wa waasisi wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Eugene Kabendera akitangaza kukihama  bila kutaja jukwaa analokwenda, mwenyekiti wa chama hicho, Hashimu Rungwe amesema kila jambo na wakati wake. Jina la Kabendera ni kati ya manane ya waanzilishi wa chama hicho kilichosajiliwa Juni 2012 na kupata usajili wake wa…

Read More