Serikali kupitia Tume ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) imeitaka Taasisi ya School of Community Network kuongeza juhudi za kuanzisha vituo vya mafunzo ya
Month: May 2025

Mbeya. Katika kukabiliana na changamoto ya Udumavu kwa watoto walio chini ya miaka mitano, Mkoa wa Mbeya umefanikiwa kupunguza changamoto hiyo kutoka wastani wa asilimia

Farida Mangube, Morogoro. Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Prof. Riziki Shemdoe, ameutaka Wakala wa Elimu na Mafunzo ya Uvuvi (FETA) kuhakikisha unaandaa

:::::::: Naibu Waziri wa Ujenzi, Mhandisi Godfrey Kasekenya amekutana na kufanya mzungumzona Makamu wa Waziri wa Ardhi, Miundombinu na Usafirishaji wa Jamhuri ya Korea, Mhe.

Dar es Salaam. Huduma za Al Barakah zinazotolewa na benki ya CRDB zimeiweka tena Tanzania katika ramani ya huduma bora zinazofuata misingi ya dini ya

Dar es Salaam. Katika kuendeleza ubora wa elimu pamoja na mazingira salama na wezeshi kwa wanafunzi wadau wa maendeleo wameombwa kujitolea vifaa saidizi ikiwemo taulo

NI muhimu kuwaandaa vijana na wataalamu wa sekta ya Petroli ili kuendana na kasi ya mabadiliko ya teknolojia katika sekta ya petoli yanayoendelea duniani. Kauli

NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM Tanzania inatarajiwa kuwa mwenyeji wa Mkutano Mkuu wa Shirika la Viwango Barani Afrika (ARSO) utakaofanyika kuanzia Juni 23 hadi

KATIKA msimamo wa Ligi Kuu Bara, Kagera Sugar na KenGold zimeshuka daraja tayari huku timu hizo zikiwa ndiyo zenye idadi ndogo zaidi ya mabao ya

……………………… Na Ester Maile: Dodoma Serikali kupitia wizara ya Elimu,sayansi na Teknolojia inaendelea Kuboresha mfumo wa elimu kupitia maboresho makubwa ya mitaala katika ngazi zote