SERIKALI YAITAKA COMMUNITY NETWORK KUSAMBAZA TEHEMA VIJIJINI

Serikali kupitia Tume ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) imeitaka Taasisi ya School of Community Network kuongeza juhudi za kuanzisha vituo vya mafunzo ya TEHAMA katika mikoa mbalimbali nchini, hususan vijijini, ili kuwajengea vijana ujuzi wa kushiriki kikamilifu katika uchumi wa kidigitali. Akizungumza leo Mei 27, 2025 jijini Dar es Salaam wakati wa ufunguzi…

Read More

Wadau waitwa kusaidia utunzaji mazingira, elimu

Dar es Salaam. Katika kuendeleza ubora wa elimu pamoja na mazingira salama na wezeshi kwa wanafunzi wadau wa maendeleo wameombwa kujitolea vifaa saidizi ikiwemo taulo za kike, pipa za kuhifadhia uchafu katika shule mbalimbali nchini. Wito huo umetolewa na wazazi pamoja na walimu leo Mei 26, 2025 wakati wakipokea msaada wa vifaa mbalimbali vya kuwezesha…

Read More

Tanzania Kuwa Mwenyeji wa Mkutano Mkuu wa ARSO 2025

NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM Tanzania inatarajiwa kuwa mwenyeji wa Mkutano Mkuu wa Shirika la Viwango Barani Afrika (ARSO) utakaofanyika kuanzia Juni 23 hadi 27, 2025, katika visiwa vya Zanzibar, ambapo Rais wa Zanzibar, Dkt. Hussein Mwinyi, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi. Akizungumza leo Mei 27, 2025 jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika…

Read More

Lwassa jeshi la mtu mmoja Kagera

KATIKA msimamo wa Ligi Kuu Bara, Kagera Sugar na KenGold zimeshuka daraja tayari huku timu hizo zikiwa ndiyo zenye idadi ndogo zaidi ya mabao ya kufunga ambayo ni 22 hadi sasa zikiwa zimecheza mechi 28 kila moja. Katika idadi hiyo ya mabao, vikosi hivyo vimeonekana kuwa na shida kubwa eneo hilo la ushambuliaji kiasi cha…

Read More

MABADILIKO YA MITAALA NGUZO MUHIMU YA KUIMARISHA ELIMU NCHINI

………………………  Na Ester Maile: Dodoma  Serikali  kupitia  wizara ya Elimu,sayansi na Teknolojia inaendelea  Kuboresha   mfumo wa elimu kupitia maboresho makubwa ya mitaala katika ngazi zote za elimu nchini. Maboresho hayo, yanalenga kuongeza ujuzi, maarifa na stadi za wanafunzi, ni sehemu ya mkakati wa Taifa wa kuhakikisha elimu inakuwa chachu ya maendeleo endelevu ya kiuchumi na…

Read More