Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: May 2025

  • Home
  • 2025
  • May
  • Page 32
Habari

MILIONI 815.453 KUMALIZA KERO YA MAJI VIJIJI VINNE WILAYANI MTWARA

May 27, 2025 Admin

Picha no 382 Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa Mwaka 2025 Ismail Ali Ussi,akiangalia kisima cha maji katika kilichofanyiwa ukarabati mkubwa kwa ajili

Read More
Habari

Vertex yaja na uwekezaji kiganjani

May 27, 2025 Admin

NA MWANDISHI WETU MTENDAJI Mkuu wa Vertex International Securities limited Mateja Mgeta amewataka watu kuwekeza kupitia huduma ya Vertex Mobile Trading App ambayo itawasaidia wananchi

Read More
Habari

WAZIRI MASAUNI ATOA ONYO UZALISHAJI NA MATUMIZI BIDHAA ZA PLASTIKI

May 27, 2025 Admin

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni,akizungumza na waandishi wa habari  leo Mei 27, 2025 jijini

Read More
Habari

Muasisi wa Chaumma ajiondoa, ataja sababu

May 27, 2025 Admin

Dar es Salaam. Mmoja wa waasisi wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Eugene Kabendera ametaja kujiondoa rasmi ndani ya chama hicho. Kabendera ambaye pia

Read More
Habari

Aliyembaka mwanafunzi wa darasa la kwanza mikononi mwa Polisi

May 27, 2025 Admin

Njombe. Jeshi la Polisi mkoani Njombe linamshikilia Daniel Kafyulilo (39) mkazi wa Chaugingi halmashauri ya mji wa Njombe kwa tuhuma za kumbaka mwanafunzi wa darasa

Read More
Habari

Haya hapa majina ya vijana waliochaguliwa kujiunga JKT

May 27, 2025 Admin

Dar es Salaam. Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) limetoa orodha ya wanafunzi waliomaliza kidato cha sita mwaka 2025 watakaotakiwa kujiunga na mafunzo ya lazima ya

Read More
Habari

Dk Tulia: Tuombee uchaguzi, viongozi wapatikane kwa haki

May 27, 2025 Admin

Hai. Spika wa Bunge na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Dk Tulia Ackson ametumia mazishi ya aliyekuwa Askofu Mkuu wa kwanza wa Kanisa

Read More
Habari

TCAA na Idara ya Uhamiaji Zatiliana Saini Mpango wa Kubadilishana Taarifa Kidijitali

May 27, 2025 Admin

 Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) na Idara ya Uhamiaji wametiliana saini makubaliano ya mpango wa kubadilishana taarifa kwa njia ya kidijitali, hatua muhimu

Read More
Michezo

Baada ya Simba kukosa ubingwa CAF, Manula atoa kauli nzito

May 27, 2025 Admin

SIKU chache baada ya Simba SC kupoteza nafasi ya kutwaa ubingwa wa Kombe la Shirikisho Afrika, golikipa wa timu hiyo, Aishi Manula, ameibuka na kutoa

Read More
Michezo

Aziz KI kukipiga mara ya kwanza Wydad AC

May 27, 2025 Admin

LEO huenda ikawa siku ya kwanza kumshuhudia nyota wa zamani wa Yanga na Burkina Faso, Stephane Aziz Ki ndani ya kikosi cha Wydad Athletic Club

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 31 32 33 … 242 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.