Vertex yaja na uwekezaji kiganjani

NA MWANDISHI WETU MTENDAJI Mkuu wa Vertex International Securities limited Mateja Mgeta amewataka watu kuwekeza kupitia huduma ya Vertex Mobile Trading App ambayo itawasaidia wananchi kufanya uwekezaji kwa wepesi kwa kuwa ni moja ya njia nyepesi kwa watumiaji. Mateja amebainisha hayo leo Jijini Dar es Salaam wakati wa uzinduzi wa Vertex Mobile Trading App yenye…

Read More

Muasisi wa Chaumma ajiondoa, ataja sababu

Dar es Salaam. Mmoja wa waasisi wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Eugene Kabendera ametaja kujiondoa rasmi ndani ya chama hicho. Kabendera ambaye pia amewahi kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chaumma Tanzania Bara, na mwakilishi wa Chaumma katika Baraza la Vyama vya Siasa Tanzania, ametangaza uamuzi huo leo Jumanne Mei 27, 2025. Kupitia taarifa…

Read More

Haya hapa majina ya vijana waliochaguliwa kujiunga JKT

Dar es Salaam. Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) limetoa orodha ya wanafunzi waliomaliza kidato cha sita mwaka 2025 watakaotakiwa kujiunga na mafunzo ya lazima ya kijeshi kwa mujibu wa sheria, huku vijana hao wakipangiwa kambi mbalimbali nchini. Kwa mujibu wa orodha iliyotolewa na JKT, vijana kutoka shule mbalimbali za sekondari nchini wamepangiwa katika kambi tofauti…

Read More

TCAA na Idara ya Uhamiaji Zatiliana Saini Mpango wa Kubadilishana Taarifa Kidijitali

 Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) na Idara ya Uhamiaji wametiliana saini makubaliano ya mpango wa kubadilishana taarifa kwa njia ya kidijitali, hatua muhimu inayolenga kuimarisha usalama, kuongeza ufanisi wa huduma, na kusaidia ukusanyaji wa takwimu sahihi, hususan katika sekta ya utalii. Makubaliano hayo yamesainiwa katika makao makuu ya Idara ya Uhamiaji jijini Dodoma…

Read More

Aziz KI kukipiga mara ya kwanza Wydad AC

LEO huenda ikawa siku ya kwanza kumshuhudia nyota wa zamani wa Yanga na Burkina Faso, Stephane Aziz Ki ndani ya kikosi cha Wydad Athletic Club itakapokuwa ikicheza mechi ya kirafiki dhidi ya Sevilla kutoka Hispania. Mchezo huo utakuwa maalumu kwa ajili ya maandalizi ya Wydad kuelekea michuano ya Klabu Bingwa ya Fifa ya Dunia itakayopigwa…

Read More