UN inaonya juu ya shida ya haki za binadamu za ‘janga’ nchini Myanmar kama vurugu na kuanguka kwa uchumi – maswala ya ulimwengu

Iliyochapishwa mbele ya Baraza la Haki za BinadamuKikao kinachokuja, ripoti ilionyesha hali mbaya tangu mapinduzi ya kijeshi mnamo 2021ambayo iliondoa mabadiliko ya kidemokrasia ya Myanmar na ilisababisha upinzani mkubwa wa silaha. Katika miaka tanguVikosi vya jeshi vimelenga idadi ya raia na ndege, milipuko ya sanaa na aina zingine za vurugu, wakati vikundi vya watu wenye…

Read More

Wanafunzi wanaojifungua na kurudi shuleni hawasababishi ongezeko la mimba – Utafiti

Dodoma. Serikali imesema kuwa utafiti uliofanywa kuhusu kuwarudisha wanafunzi waliopata mimba shuleni kuendelea na masomo haujaonyesha ongezeko la wanafunzi kupata mimba katika shule husika, badala yake umepunguza. Mpaka sasa jumla ya wanafunzi 10,300 waliopata mimba shuleni wamerudi kuendelea na masomo yao katika shule walizokuwa wanasoma awali na wengine kuhama shule, baada ya kujifungua. Kauli hiyo…

Read More

HISENSE TANZANIA YAZINDUA TV MPYA INAYOTUMIA AI

Kampuni ya Hisense Tanzania imetambulisha bidhaa yake mpya sokoni ambazo ni Televisheni  ya kisasa  ya nchi 116 na Frigi la kisasa ambalo Kwa mara ya Kwanza linaletwa katika soko la Tanzania. Akizungumza na Waandishi Wa Habari wakati  uzinduzi Wa bidhaa hizo meneja Masoko Wa Hisense nchini Zishan Dewji amesema    bidhaa hizo ni moja ya…

Read More

Zanzibar kuandaa mwongozo matumizi nishati safi

Unguja. Katika kupambana na uharibifu wa mazingira na kulinda afya za wananchi, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imesema inaandaa mwongozo maalumu wa matumizi ya gesi asilia hatua itakayosaidia utunzaji wa mazingira kutokana na matumizi ya nishati chafu ikiwamo kuni na mkaa. Pia, Serikali ipo kwenye mchakato kutafuta wawekezaji kufunga mitambo kisiwani hapo kwa ajili…

Read More

KAFULILA ASHUSHA NONDO NZITO KUHUSU DENI LA TAIFA

  Mkurugenzi Mtendaji wa PPPC, David Kafulila Na Mwandishi Wetu –  Dar es Salaam Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPPC), David Kafulila, leo Mei 27, 2025 ametoa somo zito kwa wanazuoni na wadau wa sekta binafsi kuhusu mwenendo wa deni la taifa la Tanzania na dunia kwa ujumla….

Read More

Neema mpya Lindi, Mtwara Serikali ikiachia Sh669 bilioni

Mtwara. Katika kuhakikisha inatekeleza ahadi ya kuifungua kiuchumi mikoa ya Lindi na Mtwara na kuboresha miundombinu ya barabara na madaraja, Serikali imetangaza kupeleka Sh669 bilioni. Fedha hizo zinakwenda kutumika kwa ajili ya ujenzi wa barabara na madaraja lengo likiwa ni kuboresha usafiri na kuifungua mikoa hiyo kiuchumi. Hayo yameelezwa na Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega…

Read More