Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: May 2025

  • Home
  • 2025
  • May
  • Page 34
Habari

Chadema kupeleka operesheni No reforms, no election Kaskazini

May 27, 2025 Admin

Arusha. Chama cha Demokrasi na Maendeleo (Chadema), kimepanga kuanza operesheni ya No reforms, no election ‘bila mabadiliko hakuna uchaguzi’ katika mikoa ya Kanda ya Kaskazini

Read More
Habari

JKT yawaita vijana waliomaliza kidato cha sita, vigezo hivi hapa

May 27, 2025 Admin

Dodoma. Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), limewaita vijana waliomaliza kidato cha sita mwaka 2025 kuhudhuria mafunzo ya JKT kwa Mujibu wa Sheria kwa mwaka 2025.

Read More
Habari

Takukuru yazuia malipo ya makaburi hewa 123 Musoma

May 27, 2025 Admin

Musoma. Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) mkoani Mara imefanikiwa kudhibiti malipo hewa ya zaidi ya Sh70.2 milioni zikiwemo Sh49.2 milioni zilizotakiwa kulipa

Read More
Habari

DAR KINARA MAKUSANYO YA MADUHULI

May 27, 2025 Admin

-Soko la madini, madini ya ujenzi na viwandani yaibeba 📍DAR ES SALAAM Mkoa wa Dar es Salaam umeendelea kufanya vizuri katika ukusanyaji wa maduhuli ya

Read More
Michezo

Vijimambo vya Fountain Gate | Mwanaspoti

May 27, 2025 Admin

MSIMU wa 2024/25 uko mbioni kumalizika, lakini ndani ya msimu huu kuna mambo flani yametokea katika kikosi cha Fountain Gate na Foutain Gate Pricess ambayo

Read More
Habari

Mahakama yamng’ang’ania aliyemnajisi mwanaye, jela miaka 30

May 27, 2025 Admin

Arusha. Juhudi za baba aliyehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela kwa kumbaka binti yake, kujinasua katika adhabu hiyo, zimegonga mwamba baada ya Mahakama ya Rufani

Read More
Habari

NMB Yaweka Msingi wa Ushirikiano Imara na Serikali za Mitaa Katika Mkutano wa 25 wa LVRLAC

May 27, 2025 Admin

Mwanza, Tanzania  Benki ya NMB imethibitisha dhamira yake ya kuunga mkono maendeleo ya serikali za mitaa kwa kudhamini Mkutano Mkuu wa 25 wa Jumuiya ya

Read More
Kimataifa

Mkuu wa Haki za UN anataka kukomeshwa kwa mauaji ya kila siku huko Ukraine baada ya shambulio mbaya la wikendi – maswala ya ulimwengu

May 27, 2025 Admin

Wengi wa wale waliouawa na kujeruhiwa walikuwa katika miji mikubwa kama Kyiv, Kharkiv, na Mykolaiv, au katika maeneo yenye watu katika mikoa mingine. Wakati huo

Read More
Habari

SERIKALI YATOA ZAIDI YA MILIONI 815 KUKARABATI MRADI WA MAJI DIHIMBA

May 27, 2025 Admin

Mtwara Serikali kupitia Wizara ya Maji imetoa kiasi cha Shilingi 815,453,185 kwa ajili ya ukarabati wa Mradi wa Maji Dihimba, unaolenga kuwahudumia wakazi zaidi ya

Read More
Habari

NIDA Songea Yasihi Wananchi Kuchukua Vitambulisho vyao.

May 27, 2025 Admin

Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) Wilaya ya Songea imewahimiza wananchi wote kujitokeza kuchukua vitambulisho vyao vya taifa ambavyo vimekamilika, ili kuepuka usumbufu unaoweza kujitokeza

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 33 34 35 … 242 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.