Chadema kupeleka operesheni No reforms, no election Kaskazini
Arusha. Chama cha Demokrasi na Maendeleo (Chadema), kimepanga kuanza operesheni ya No reforms, no election ‘bila mabadiliko hakuna uchaguzi’ katika mikoa ya Kanda ya Kaskazini kuanzia kesho Mei 28, 2025. Operesheni hiyo inatarajiwa kuzinduliwa kesho Mei 28,2025 katika viwanja vya Kilombero jijini Arusha. Akizungumza na Mwananchi leo, Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Samwel Welwel…