TCB Yajipanga Kuendeleza Mageuzi ya Kidijitali

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV BENKI ya Biashara ya Tanzania (TCB) imejipanga kuendeleza mageuzi ya kidijitali ili kuongeza ujumuishi wa kifedha kwa wajasiriamali wadogo na wa kati, lakini katika upande wa ukuaji wa mizania ya kifedha, jumla ya mali za benki ziliongezeka kwa asilimia 25 hadi kufikia shilingi trilioni 1.74, na amana za wateja zilifikia…

Read More

Diwani aliyefariki baada ya kumaliza kuhutubia azikwa

‎Iringa. Wananchi, viongozi wameshiriki mazishi ya aliyekuwa diwani wa Kata ya Kiwere, Felix Waya aliyefariki dunia baada ya kumaliza kuhutubia kwenye mkutano katika mkutano wa hadhara uliofanyika ukumbi wa Masai. Miongoni mwa walioshiriki mazishi hayo ni viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), mkoani Iringa, ambapo wameeleza kupata pigo kufuatia kifo cha Felix. Wameeleza kuwa ni…

Read More

Ulinzi wa Miundombinu ya Mawasiliano Wapewa Kipaumbele katika Maendeleo ya Kidigitali

*UCSAF yaonya dhidi ya uharibifu wa minara ya mawasiliano, yaahidi kuimarisha uhamasishaji wa jamii SERIKALI kupitia Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) imeweka msisitizo mkubwa katika ulinzi na utunzaji wa miundombinu ya mawasiliano, ikibainisha kuwa uharibifu wa minara una athari kubwa kwa maendeleo ya taifa na upatikanaji wa huduma bora kwa wananchi. Akizungumza jijini Dar…

Read More

Afariki kwenye ajali ya moto akiwa kibandani

Njombe. Mkazi wa mtaa wa sekondari uliopo kata ya Maguvani halmashauri ya mji wa Makambako wilayani Njombe,  Yohana Kilowoko (37) amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Mei 26, 2025 baada ya kulala na jiko la mkaa kwenye chumba ambacho amekuwa akifanyia biashara na kusababisha nyumba kuwaka moto. Hayo yamesemwa leo Mei 26,2025 na Mwenyekiti wa…

Read More