DC KASILDA AWATAKA WATENDAJI WA SERIKALI KUWAJIBIKA..
NA WILLIUM PAUL, SAME. MKUU wa wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro Kasilda Mgeni amewataka watendaji wa Serikali kuwajibika ipasavyo kwenye maeneo yao ya kazi na kueleza kuwa baadhi ya maeneo yamekuwa na changamoto kubwa zinazosababishwa na watendaji wa eneo hilo kutowajibika. Kasilida amesema kuwa hali hiyo inasababisha serikali kupewa lawama kutoka kwa wananchi na changamoto…