Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: May 2025

  • Home
  • 2025
  • May
  • Page 4
Habari

Watumishi halmashauri ya Mji Njombe wafanyiwa maombi

May 31, 2025 Admin

Njombe. Watumishi wa halmashauri ya Mji Njombe wametakiwa kufanya kazi kwa kuzingatia sheria na kanuni zilizowekwa ili kuleta matokeo chanya kwa halmashauri na wananchi wanaohudumiwa.

Read More
Habari

GCLA KANDA YA KATI YATOA MAFUNZO YA KUKABILIANA NA MAJANGA YA KEMIKALI KWA WAKAZI WA RUAHA MBUYUNI

May 31, 2025 Admin

Katibu Tawala wa Wilaya ya Ilolo, Eston Kyando (aliyesimama) akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo kwa makundi mbalimbali ya viongozi wa Kata ya Ruaha Mbuyuni

Read More
Habari

Waathirika mradi Bonde la Msimbazi watishia kwenda mahakamani

May 31, 2025 Admin

Dar es Saalam. Wakati wananchi waliopisha mradi wa Bonde la Msimbazi wakitishia kwenda mahakamani wakidai kutolipwa fidia ya ardhi kama inavyotakiwa kwa mujibu wa sheria,

Read More
Michezo

Morocco aita jeshi la nyota 28 Stars

May 31, 2025 Admin

KOCHA mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Hemed Suleiman ‘Morocco’, ametaja kikosi cha nyota 28 kwa ajili ya kujiwinda na mechi ya

Read More
Habari

Dk Tulia: Nafasi zetu za uongozi kimataifa ni juhudi za Rais Samia

May 31, 2025 Admin

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Tulia Ackson amesema kuwa nafasi za uongozi ambazo viongozi mbalimbali wa Tanzania wamepata katika taasisi

Read More
Michezo

Idriss Mbombo anakiwasha Zambia, abeba tuzo ya ufungaji bora

May 31, 2025 Admin

MSHAMBULIAJI wa Nkana FC, Idriss Ilunga Mbombo, ametwaa Tuzo ya Mfungaji Bora wa Ligi Kuu Soka Zambia maarufu MTN Super League Football msimu wa 2024-2025.

Read More
Michezo

Arajiga pilato wa Simba, Singida FA

May 31, 2025 Admin

Refa Ahmed Arajiga ndiye atashika filimbi katika mechi ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB baina ya Simba na Singida Black Stars itakayochezwa

Read More
Michezo

Mafunzo yashushwa kileleni, vita ya ubingwa ZPL yachukua sura mpya

May 31, 2025 Admin

KIPIGO cha bao 1-0 ilichopokea Mafunzo FC kutoka kwa Muembe Makumbi City katika mchezo wa Ligi Kuu Zanzibar uliofanyika jana Mei 30, 2025 kwenye Uwanja

Read More
Michezo

Straika Dodoma Jiji awekewa mkataba mpya mezani

May 31, 2025 Admin

UONGOZI wa Dodoma Jiji uko katika mazungumzo ya kumuongezea mkataba mshambuliaji nyota wa kikosi hicho, Paul Peter, baada ya alionao sasa kufikia tamati mwishoni mwa

Read More
Michezo

Simba v Singida BS ni mechi ya kisasi, utamu uko hapa

May 31, 2025 Admin

NGOJA TUONE. Baada ya kupoteza mechi mbili dhidi ya Simba katika Ligi Kuu Bara, Singida Black Stars leo ina nafasi ya kulipa kisasi katika pambano

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 3 4 5 … 242 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.