Watumishi halmashauri ya Mji Njombe wafanyiwa maombi

Njombe. Watumishi wa halmashauri ya Mji Njombe wametakiwa kufanya kazi kwa kuzingatia sheria na kanuni zilizowekwa ili kuleta matokeo chanya kwa halmashauri na wananchi wanaohudumiwa. Wito huo umetolewa leo Mei 31, 2025 na Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri hiyo, Kuruthum Sadick wakati wa dua ya kuwaombea watumishi wa halmashauri hiyo iliyofanyika huko wilayani Njombe. Amesema wanapoelekea…

Read More

GCLA KANDA YA KATI YATOA MAFUNZO YA KUKABILIANA NA MAJANGA YA KEMIKALI KWA WAKAZI WA RUAHA MBUYUNI

Katibu Tawala wa Wilaya ya Ilolo, Eston Kyando (aliyesimama) akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo kwa makundi mbalimbali ya viongozi wa Kata ya Ruaha Mbuyuni juu ya namna ya kukabiliana na majanga ya kemikali ikiwemo ajali za magari yanayosafirisha kemikali. Mafunzo hayo yamefanyika katika ukumbi wa shule ya msingi Mbuyuni A, Wilaya ya Kilolo mkoani…

Read More

Waathirika mradi Bonde la Msimbazi watishia kwenda mahakamani

Dar es Saalam. Wakati wananchi waliopisha mradi wa Bonde la Msimbazi wakitishia kwenda mahakamani wakidai kutolipwa fidia ya ardhi kama inavyotakiwa kwa mujibu wa sheria, Serikali imesema wanaostahili malipo ni wale waliokuwa na hati pekee. Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (Tarura), umefafanua suala hilo, ukisema mchakato wa kuwalipa fidia wale tu walio na hati…

Read More

Morocco aita jeshi la nyota 28 Stars

KOCHA mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Hemed Suleiman ‘Morocco’, ametaja kikosi cha nyota 28 kwa ajili ya kujiwinda na mechi ya kimataifa ya kirafiki dhidi ya Afrika Kusini ‘Bafana Bafana’, itakayopigwa Juni 6 mwaka huu nchini Afrika Kusini. Mbali na mechi hiyo dhidi ya Bafana Bafana iliyomaliza nafasi ya tatu kwenye…

Read More

Arajiga pilato wa Simba, Singida FA

Refa Ahmed Arajiga ndiye atashika filimbi katika mechi ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB baina ya Simba na Singida Black Stars itakayochezwa kwenye Uwanja wa Tanzanite Kwaraa, Babati kuanzia saa 9:30 alasiri. Huo ni mchezo wa pili kwa Arajiga kuichezesha Simba msimu huu, wa kwanza ukiwa ni wa mzunguko wa pili wa…

Read More

Straika Dodoma Jiji awekewa mkataba mpya mezani

UONGOZI wa Dodoma Jiji uko katika mazungumzo ya kumuongezea mkataba mshambuliaji nyota wa kikosi hicho, Paul Peter, baada ya alionao sasa kufikia tamati mwishoni mwa msimu huu, lengo likiwa ni kumtaka aendelee kuichezea timu hiyo kwa miaka miwili. Akizungumza na Mwanaspoti, mshambuliaji huyo alisema ni kweli yupo katika majadiliano ya kusaini mkataba mpya na kikosi…

Read More