Ulega awakomalia makandarasi wanaochelewesha miradi ya ujenzi
Lindi. Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega amezidi kuwa mwiba kwa wakandarasi wanaoshindwa kutekeleza majukumu yao ipasavyo, akisema Serikali haitaongeza hata siku moja kwa atakayeshindwa kukamilisha mradi wa ujenzi kwa sababu za uzembe. Ulega alitoa msimamo huo jana Mei 25 mkoani Lindi, akiwa kwenye ziara ya ukaguzi wa ukarabati wa miundombinu ya ujenzi katika mikoa ya…