Yule refa wa Simba, Berkane kumbe ndo zake

KILICHOTOKEA kwa mwamuzi wa mchezo wa fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika baina ya Simba dhidi ya RS Berkane, Dahane Beida raia wa Mauritania, kinatajwa kuwa ni mwendelezo wa upepo mbaya alionao kwa timu za Tanzania huku baadhi ya uamuzi wa matukio uwanjani yakitafsiriwa si ya haki. Mwamuzi huyo analalamikiwa kuikandamiza Simba kutokana na kutotenda…

Read More

Majaliwa ataja njia mbadala kuwawezesha wafanyabiashara

Osaka. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali itaendelea na mikakati ya kuwaunganisha wafanyabiashara wa Tanzania na wenzao wa mataifa mbalimbali duniani, ikiwemo Japan, ili kuwawezesha kunufaika na fursa zilizopo katika mataifa hayo. Majaliwa amesema Serikali imekuwa ikifanya hivyo kwa kushiriki katika makongamano mbalimbali ya kimataifa, ambayo yamekuwa yakiwakutanisha wafanyabiashara na wawekezaji ili kuongeza tija kwenye…

Read More

Bashungwa atoa onyo kwa wageni kuchezea amani, asema…

Dodoma. Waziri wa Mambo ya Ndani, Innocent Bashungwa ametoa onyo kwa wageni wanaotaka kuingia nchini wakiwa na nia ya kuchezea amani ya nchi na kwamba watashughulikiwa kwa mujibu wa sheria. Bashungwa ameyasema hayo leo Mei 26, 2025 bungeni jijini Dodoma alipokuwa akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya wizara yake kwa mwaka wa fedha 2025/26….

Read More

Umeme wakatika Muhimbili kwa saa 15, wagonjwa wahaha

Dar es Salaam. Wagonjwa wanaopokea huduma ya kuchuja damu ‘dialysis’ katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, MNH wamelalamikia jengo la watoto hospitalini hapo kukosa umeme kwa saa 15 mfululizo, hali iliyoathiri matibabu yao. Matibabu ya dialysis kawaida hujumuisha kutumia mashine kuchukua kazi ya figo kuchuja sumu, taka na maji kupita kiasi kutoka mwilini. Tiba hii huhitajika…

Read More

SERIKALI ITAENDELEZA MIKAKATI YA KUWAUNGANISHA WAFANYABIASHARA

………….. WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali itaendelea na mikakati ya kuwaunganisha wafanyabiashara wa Tanzania na wa Mataifa mbalimbali duniani ikiwemo Japan ili kuwawezesha kunufaika na fursa mbalimbali zilizopo katika mataifa hayo. Mheshimiwa Majaliwa amesema kuwa Serikali imekuwa ikifanya hivyo kwa kushiriki katika makongamano mbalimbali ya kimataifa ambayo yamekuwa yakiwakutanisha wafanyabiashara na wawekezaji ili…

Read More

Trump amtupia dongo Putin, adai kukasirishwa kisa…

Washington. Rais wa Marekani, Donald Trump ameeleza kutofurahishwa na mwenendo wa Rais wa Russia, Vladimir Putin kuhusiana na mzozo wa Ukraine. Akizungumza na vyombo vya habari jana Jumapili, Trump alisema Rais Putin ni mwendawazimu aliyepoteza akili, huku akisema hajafurahishwa na kitendo cha Russia kutekeleza mashambulizi yake nchini Ukraine. Trump amekuwa akiwatumia wateule wake Keith Kellogg…

Read More