Homera aagiza Chunya kukamilisha ujenzi wa sekondari
Chunya. Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Dk Juma Homera ameiagiza Halmashauri ya Wilaya ya Chunya kutoa Sh20 milioni zikamilishe Ujenzi wa shule ya mpya ya Sekondari Masache iliyopo Kitongoji cha Itumbi Kata ya Matundasi. Hatua hiyo imekuja kutokana na kilio cha diwani wa kata hiyo, Kimo Choga alichokitoa leo Jumapili Mei 25,2025 baada ya kumueleza…