Wadau walia danadana sheria ya habari Zanzibar
Unguja. Wadau wa habari Zanzibar wameendelea kuhoji sababu za kuchelewa kwa marekebisho ya Sheria ya Huduma za Vyombo vya Habari, mchakato ambao umedumu kwa karibu miaka 20. Hivi sasa, Zanzibar bado inatumia sera ya habari ya mwaka 2006 na sheria ya huduma za vyombo vya habari ya mwaka 1988. Wakizungumza katika maadhimisho ya Siku ya…