Hekima, uadilifu, mafanikio havikuachi ukiishi maisha ya kumjua Mungu
Kuna uhusiano mkubwa baina ya maisha ya wanadamu ya kumjua Mungu na mafanikio ndio maana maandiko yanasema, “Mjue sana Mungu ili uwe na amani ndivyo mema yatakavyokujia” (Ayubu 22:21). Hii inamaanisha kuwa jamii yoyote ya watu ambayo itachagua kumjua Mungu na kuishi katika kanuni, sheria na muongozo wa Mungu ina nafasi ya kufanikiwa sana. Maandiko…