Azam yafunguka kipengele cha Yanga, Fei Toto kutua Simba

Unakumbuka neno kipengele lilivyogonga vichwa vya habari wakati wa sakata la kuahirishwa kwa mechi ya watani wa jadi? Basi neno hilo limerejea tena kwa kishindo likiwahusisha haohao Simba na Yanga, lakini safari hii ni kupitia mkataba wa Feisal Salum maarufu zaidi kama Feitoto, Failasufi au Zanzibar Finest. Mchezaji huyo wa Azam FC amekuwa akihusishwa kuhamia…

Read More

Jarida la TANAPA lang’ara mkutano mkuu CCM

Na Mwandishi Wetu. Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) limeonesha kwa vitendo namna lilivyotekeleza ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi(CCM), 2020-2025 kwa uweledi na ufanisi mkubwa. Jarida hilo ambalo lilisambazwa kwa wajumbe wa mkutano mkuu, wageni na waalikwa limeonesha namna TANAPA ilivyotekeleza ilani hiyo na kupata mafanikio na upekee wa vivutio vya utalii nchini….

Read More

WAZIRI MKUU AKUTANA NA MWENYEKITI WA CHAMA CHA URAFIKI WA WABUNGE WA JAPAN NA AFRIKA

……………. Waziri Mkuu, Kasim Majaliwa Mei 29, 2025 alikutana na kuzungumza na Mwenyekiti  wa Chama cha Wabunge wa Japan cha Urafiki na Afrika (Africa Union Parliamentarians Friendship) Mheshimiwa  Ichiro Aisawa, kwenye Ofisi za Bunge la Japan. Katika mazungumzo yao walijadili kuhusu kuendeleza urafiki kati ya Bunge la Tanzania na Bunge la Japan. Pia, walijadili kuhusu…

Read More

Bodi ya Ithibati: Hakuna Nafasi kwa Vyeti Bandia au Visivyohusiana na Uandishi

*Waandishi wa Habari Watakiwa Kuwasilisha Vyeti Sahihi Pekee kwa Ithibati *Wito kwa Wapiga Picha na Waandaaji Vipindi Kujisajili kwa Ithibati MAAFISA wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari Bi. Rehema Mpagama, Wakili wa Serikali Mwandamizi na Bw. Mawazo Kibamba, Afisa Habari Mwandamizi anayeshughulikia Ithibati wakifafanua masuala mbalimbali ya Mfumo wa Usajili wa Waandishi wa…

Read More

ZINGATIENI MAELEKEZO KWENYE KUJISAJILI KWENYE MFUMO WA USAJILI WA WAANDISHI WA HABARI

Maafisa wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari Bi. Rehema Mpagama, Wakili wa Serikali Mwandamizi na Bw. Mawazo Kibamba, Afisa Habari Mwandamizi anayeshughulikia Ithibati wakifafanua masuala mbalimbali ya Mfumo wa Usajili wa Waandishi wa Habari. Wakizungumza kwa nyakati tofauti maafisa hao wamewasisitiza Waandishi wa Habari wanaojisajili katika mfumo huo kupitia kiunganishi cha https://taihabari.jab.go.tz kuzingatia…

Read More

Mtibwa yasaka kocha, yamkomalia Bayser

MTIBWA Sugar kwa sasa inafanya mambo mawili muhimu, ipo katika mchakato wa kumtafuta kocha mkuu ndani na nje na kupitia kwa uongozi wa serikali Mkoa wa Morogoro inamshawishi, Jamal Byser kurudi kikosini. Taarifa za ndani zinasema baada ya mabosi wa klabu hiyo kufanya kikao na kupitia ripoti ya mwenendo wa timu hiyo, umegundua aliyekuwa mwenyekiti…

Read More