Othman aanza ziara Kanda ya Ziwa, aamsha ari ya mageuzi
Shinyanga. Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo Taifa, Othman Masoud Othman, amewahimiza wananchi wa Shinyanga kutafakari kwa kina kuhusu mchango wao katika kuleta mageuzi. Amewakumbusha kuwa kila kura ina thamani kubwa na ni silaha muhimu ya kuleta mabadiliko ya kweli. Akizungumza leo Jumamosi, Mei 24, 2025, katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa Town School,…