Maboresho ya Mahakama yana mchango mkubwa kwa Taifa

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma MAKAMU Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti, Twaha Mpembenwe amesema kuwa, maboresho ya Mahakama ya Tanzania yaliyofanyika yana mchango mkubwa katika kukuza uchumi wa Taifa. Mpembenwe ameyasema hayo jijini Dodoma,katika ukumbi wa mikutano wa Jengo la Makao Makuu ya Mahakama ya Tanzania jijini Dodoma wakati wa Semina…

Read More

Msimamo wa Mdee kuelekea uchaguzi ‘tungo tata’

Dar es Salaam. Wakati Mbunge wa Viti Maalumu, Halima Mdee, akitoa msimamo wake kuhusu Chadema kususia uchaguzi na kueleza mwelekeo wa alichoamua katika kugombea ubunge, baadhi ya wachambuzi wa masuala ya siasa wamekuwa na mtazamo tofauti. Mdee ametoa msimamo wake huo jana, Ijumaa Mei 23, 2025, katika mahojiano yake maalumu na Shirika la Utangazaji la…

Read More

Kamati Kuu Chaumma yajifungia kufanya uteuzi wa viongozi

Dar es Salaam. Kikao cha Kamati Kuu ya Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma) kinachohusisha wajumbe 15, tayari kimeshaanza katika Ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip, jijini Dar es Salaam. Kikao hicho kinaongozwa na mwenyekiti wa chama, Hashimu Rungwe na kitakuwa kinajadili ajenda kuu mbili ikiwemo kuchagua wakurugenzi wa idara makao makuu ya chama kwa…

Read More

Serikali yataka sekta madini kunufaisha Watanzania

Waziri wa Madini, Anthony Mavunde amesema Serikali ya Awamu ya Sita imejipanga kuhakikisha sekta ya madini inatoa mchango wa moja kwa moja katika kuboresha maisha ya Mtanzania, ikiwa ni sehemu ya ajenda ya maendeleo jumuishi ya Rais Samia Suluhu Hassan katika kipindi cha miaka minne ya uongozi wake. Akizungumza jijini Dar es Salaam leo, Jumamosi…

Read More

Taifa Stars kutesti mitambo na Bafana Bafana

Timu ya Taifa ya soka ya Tanzania ‘Taifa Stars’ itacheza mechi ya kimataifa ya kirafiki dhidi ya Afrika Kusini ‘Bafana Bafana’, Juni 6, mwaka huu huko Afrika Kusini. Mchezo huo umepangwa kuchezwa katika Uwanja wa Peter Mokaba uliopo Polokwane, Afrika Kusini kuanzia saa 1:30 usiku kwa muda wa huko sawa na saa 2:30 usiku kwa…

Read More