Kishindo mkutano mkuu maalumu wa CCM
Dodoma. Chama cha Mapinduzi (CCM) kinatarajia kufanya Mkutano Mkuu Maalumu wa Taifa kuanzia Mei 29 hadi Mei 30, 2025, jijini Dodoma, ambao pamoja na mambo mengine, utahusisha uzinduzi wa Ilani mpya ya Uchaguzi ya mwaka 2025–2030, sambamba na kufanya marekebisho muhimu ya Katiba ya chama. Akizungumza leo, Jumamosi Mei 24, 2025, Katibu wa Itikadi, Uenezi…