SILAA AWANUNULIA VITI 100 TAASISI YA TASACO UKONGA

::::::::::: Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia na Mbunge wa Jimbo la Ukonga __Mh.Jerry Silaa ametoa Shilingi Milioni_ 1_ na laki 7 kwa Taasisi isiyo ya Kiserikali inayohudumia jamii kwa kutoa Elimu ya huduma ndogo za kifedha (TASACO) ili kusaidia kikundi hicho Katika huduma wanayoitoa ya kukodisha,viti maturubai na vyombo vya kupikia kwenye shughuli mbalimbali. Mh.Silaa…

Read More

NRA SI CHAMA CHA MATUSI WALA KEJELI “ALMAS”

Farida Mangube, Morogoro Msajili wa Vyama vya Siasa nchini amevitaka vyama vyote vya siasa kuhakikisha vinafuata sheria na kanuni za maadili ya uchaguzi wakati wa kampeni, siku ya uchaguzi na hata baada ya uchaguzi, ili kulinda amani na utulivu wa taifa. Kauli hiyo imetolewa mkoani Morogoro na Msaidizi wa Msajili wa Vyama vya Siasa, Sisty…

Read More

TCAA Yashiriki Kongamano la Vijana wa TEHAMA

Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) imeshiriki Kongamano la Tatu la Umoja wa Vijana wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (IT), lililofanyika leo katika ukumbi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Kongamano hilo limebeba kaulimbiu “Vijana, Fursa Kidigital na Artificial Intelligence (AI)” na limewakutanisha vijana kutoka maeneo mbalimbali nchini, kwa lengo la kuwapa…

Read More

Laizer mbioni kurejea Fountain Gate

TIMU ya Fountain Gate iko katika hatua za mwishoni za kumrejesha aliyekuwa kocha msaidizi wa timu hiyo, Mohammed Ismail ‘Laizer’, huku makocha wa kikosi hicho kwa sasa Khalid Adam na Amri Said ‘Stam’ wakiwa mbioni kuondoka. Taarifa kutoka ndani ya timu hiyo zimelidokeza Mwanaspoti kuwa, Laizer atakabidhiwa mikoba ya kukiongoza kikosi hicho katika mechi mbili…

Read More

Ouma: Wale Simba waje tu!

KOCHA wa Singida Black Stars raia wa Kenya, David Ouma amesema mechi ya kirafiki dhidi ya Yanga imewapa morali wachezaji wakati huu wakijiandaa kucheza na Simba katika mechi mbili za Ligi Kuu Bara na Kombe la Shirikisho (FA). Katika mechi hiyo iliyopigwa Alhamisi iliyopita kwenye Uwanja wa KMC Complex uliopo Mwenge, Dar es Salaam, Singida…

Read More

Coastal yatoa msimamo wa Lawi

COASTAL Union imeweka wazi msimamo wake juu ya beki wa klabu hiyo, Lameck Lawi ambaye kwa muda mrefu amekuwa akihusishwa kutakiwa na timu za Simba na Yanga. Ofisa Mtendaji Mkuu wa klabu hiyo, Omary Ayoub amesema kwa sasa wako tayari kukaa mezani kujadili mauzo ya Lawi. Ikumbukwe kuwa kabla ya msimu kuanza, Coastal Union iliingia…

Read More