Wakenya waifuata Simba Zanzibar kuipa sapoti, waitabiria kubeba kombe
Mombasa: BAADHI ya viongozi na mashabiki wa soka kutoka Kenya, wameanza safari ya kwenda Zanzibar kuisapoti Simba ambayo kesho Jumapili itacheza fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya RS Berkane kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar, Jumapili. Mchezo huo wa marudiano utafanyika kuanzia saa 10:00 jioni huku Simba ikiingia uwanjani ikiwa na deni…