Mgaywa atamba kuipeleka ADC Ikulu Uchaguzi Mkuu 2025

Dar es Salaam. Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), kimemtangaza mwanasiasa mkongwe, Mutamwega Mgaywa kuwa mgombea urais katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu kwa tiketi ya chama hicho. Mgaywa ambaye amewahi kuwa mbunge wa Mwibara mkoani Mara (1995-2005), kwa tiketi ya TLP amejiunga na ADC kisha kukabidhiwa bendera ya chama hicho kwenye…

Read More

Wawakilishi walalama wananchi kutolipwa fidia wakipisha miradi

Unguja. Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wamesisitiza kuwa licha ya umuhimu wa miradi ya maendeleo inayotekelezwa, ni lazima wananchi wanaoathiriwa na ujenzi wa miundombinu hiyo walipwe fidia zao kwa wakati. Wameeleza jinsi athari za miradi hiyo zinavyosababisha maumivu na malalamiko miongoni mwa wenyeji. Pia, wametaka kuangalia vipaumbele vya barabara zinazotengenezwa kwani yapo maeneo ambayo yanajengwa…

Read More