Traore asaini makubaliano na Tanzania tiba za moyo

Dar es Salaam. Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) imeingia katika ushirikiano rasmi na Burkina Faso kupitia kusaini hati ya makubaliano, lengo likiwa ni kuboresha na kuimarisha huduma maalum za matibabu ya magonjwa ya moyo kati ya nchi hizi mbili. Ushirikiano huo umetokana na mazungumzo ya ngazi ya juu yaliyofanyika mwezi uliopita nchini Burkina Faso,…

Read More

Kamati Kuu Chaumma kujadili mambo haya…

Dar es Salaam. Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma) kesho, Machi 24, 2025 kitafanya kikao chake cha kwanza cha Kamati Kuu tangu kupokea maelfu ya wanachama wapya waliotoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kikao kinachotarajiwa kuibua mageuzi makubwa katika muundo na falsafa ya chama hicho. Mbali na mitazamo hiyo, taarifa rasmi ya chama hicho…

Read More

WAZIRI MKUU KUMWAKILISHA RAIS DKT. SAMIA MAONESHO YA WORLD EXPO 2025 OSAKA, JAPAN

WAZIRI  Mkuu Kassim Majaliwa leo Mei 23, 2025 amewasili Osaka nchini Japan kumwakilisha Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye maonesho ya kimataifa ya Osaka (World Expo 2025 Osaka). Akiwa nchini Japan, Mheshimiwa Majaliwa atashiriki katika kongamano la biashara, uwekezaji na utalii ambalo litahusisha wafanyabiashara kutoka Tanzania na Japan. Pia, Waziri Mkuu atashiriki katika Mikutano…

Read More

Serikali kuanzisha Tume ya Taifa ya Ardhi kumaliza migogoro

Dodoma. Serikali iko mbioni kuanzisha Tume ya Taifa ya Ardhi (Land Commission), ikieleza itakuwa mwarobaini wa kuondoa migogoro. Kauli hiyo imetolewa leo, Ijumaa Mei 23, 2025, na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Deo Ndejembi, alipozungumza na waandishi wa habari kuhusu utekelezaji wa shughuli za wizara kwa kipindi cha miaka minne. Waziri Ndejembi…

Read More