Serikali yatia mguu ishu ya kuingia bure mechi ya Simba, Berkane
Baada ya kuibuka taarifa kwenye mitandao ya kijamii zikidai Rais wa Zanzibar Dk Hussein Mwinyi amelipia gharama zote za mechi ya marudio ya fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika kati ya Simba na RS Berkane ya Morocco, serikali imesema viingilio vipo pale pale. Mechi hiyo ya marudio inatarajiwa kuchezwa Jumapili Mei 25, 2025 saa 10:…