Sababu wananchi kujitengenezea barabara, Tarura yatoa mwongozo
Dar es Salaam. Changamoto ya ubovu wa barabara ni kero kwa wananchi, hususani barabara za mitaa, wanana vijijini na pembezoni mwa miji, hali inayochangia ugumu wa maisha kutokana na miundombinu kuharibika. Uharibifu huu wa miundombinu ya barabara yakiwamo madaraja, baadhi kutokana na mvua una athari kwa jamii kutokana na nauli kupanda, bidhaa kuongezeka bei, huku…