Mtazamo wa kavu juu ya maendeleo na bioanuwai – maswala ya ulimwengu

Kila mwaka, Siku ya Kimataifa ya Tofauti ya Biolojia (Mei 22) inatualika kutafakari juu ya kitambaa hai ambacho kinadumisha maisha -ya ujanibishaji. Mada ya 2025, “Maelewano na maumbile na maendeleo endelevu“Inasisitiza ukweli unaokua wa haraka: maendeleo endelevu lazima yaambatane na utunzaji wa maumbile. Maoni na Himanshu Pathak (Hyderabad, India) Ijumaa, Mei 23, 2025 Huduma ya…

Read More

Kapombe aelezea Waarabu watakavyokanyaga moto Amaan Complex

SIMBA ina mafaza wawili tu kwasasa na wote wapo kikosi cha kwanza. Shomari Kapombe na Mohammed Tshabalala. Wamepigwa mishale mingi lakini bado wapo imara ndani ya kikosi cha kwanza wakimpambania Mnyama. Msimu huu hatimae wamecheza fainali yao ya kwanza ya Kombe la Shirikisho Afrika ambayo inahitimishwa Jumapili kwa dakika 90 zitakazoamua nani abebe Kombe. Simba…

Read More

Wenye ulemavu walia utekelezaji hafifu wa sera

Morogoro. Kutotekelezwa kwa Sera ya Watu Wenye Ulemavu kuanzia ngazi ya kijiji na mtaa ni moja changamoto inayolifanya kundi hilo kushindwa kupata huduma na haki zao mbalimbali ikiwemo kupata matibabu bure, elimu na ajira. Hayo yamebainishwa Mei 22, 2025 mjini Morogoro na Mwenyekiti wa Chama cha Viziwi na Wasioona Tanzania, David Shabani wakati wa mafunzo…

Read More

Dk Tulia atangaza rasmi nia kugombea jimbo jipya la Uyole

Mbeya. Mbunge wa Mbeya Mjini, Dk Tulia Ackson ametangaza rasmi nia ya kugombea jimbo jipya la Uyole katika uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba 2025, huku akiwaachia kazi wananchi jijini humo kumchagua mgombea ajaye. Dk Tulia ametangaza hatua hiyo leo Mei 23, 2025 wakati akizungumza na wananchi mbalimbali wakiwamo makada wa Chama cha Mapinduzi (CCM) akiambatana…

Read More

Mwanaharakati Atuhaire akutwa mpakani mwa Uganda, Tanzania

Dar es Salaam. Mtetetezi wa haki za binadamu na mwanaharakati kutoka Uganda, Agather Atuhaire, ambaye inadaiwa aliwekwa kizuini nchini Tanzania pamoja na Boniface Mwangi kutoka Kenya, amepatikana. Agather amepatikana akiwa eneo la Mutukula ulipo mpaka wa Tanzania na Uganda usiku wa Alhamisi Mei 22, 2025, na tayari familia yake na mawakili wake wamethibitisha. Hata hivyo,…

Read More