Mchinjita wa ACT Wazalendo adaiwa kukamatwa na Polisi

Dar es Salaam. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo, Isihaka Mchinjita anadaiwa kukamatwa na Jeshi la Polisi baada ya kutembelea mradi wa mwendokasi kuangalia kero wanazopitia wananchi. Taarifa ya kukamatwa kwa kiongozi huyo wa ACT Wazalendo imetolewa na ofisa habari wa chama hicho, Abdallah Khamis leo Mei 23,2025. “Alikuwa akifanya ziara ya kushtukiza katika…

Read More

Kampeni ya Heforshe inashughulikia ‘ngono kwa samaki’ unyanyasaji wa jamii za malawis – maswala ya ulimwengu

Wanawake mara nyingi hunyonywa wakati wa kununua samaki kutoka kwa wavuvi au wafanyabiashara katika Ziwa Malawi. Mikopo: Benson Kunchezera/IPS na Benson Kunchezera (Lilongwe) Alhamisi, Mei 22, 2025 Huduma ya waandishi wa habari LILONGWE, Mei 22 (IPS) – Wanawake katika jamii za uvuvi katika wilaya za mwambao wa Malawi wa Nkhotakota na Mangochi mara nyingi malengo…

Read More

Jacob Massawe aamsha mastaa Namungo

NAHODHA wa Namungo, Jacob Masawe amesema licha ya kukutana na timu zilizoshuka daraja, lakini hawatadharau mechi hizo kutokana na upinzani wa timu zilizo chini yao, huku akishangazwa na historia ya alipotoka timu kupotea. Namungo ipo nafasi ya 11 kwa pointi 31 katika msimamo wa Ligi Kuu Bara, ambapo imebakiza mechi mbili dhidi ya KenGold na…

Read More

Kipa Kagera Sugar akiri walichemsha mapema

KIPA wa Kagera Sugar, Ramadhan Chalamanda amesema kushuka daraja kwa timu hiyo ni sawa na kifo kwa mwanadamu, lakini si kiwango kidogo kwa wachezaji, huku akifichua kushindwa kujipanga mapema na kuzinduka mwishoni ndiko kulikowagharimu. Kagera Sugar imeshuka daraja kwa mara ya kwanza tangu ilipopanda Ligi Kuu miaka 21 iliyopita. Pamoja na kushuka daraja, bado ina…

Read More

Nenda Aziz Ki hauna deni Tanzania

MAPEMA tu mwezi ujao hapa kijiweni tutakaa mbele ya runinga kumtazama Stephane Aziz Ki akikiwasha katika Kombe la Dunia la Klabu huko Marekani akiitumikia Wydad ya Morocco. Jamaa wameonyesha jeuri yao ya fedha bwana kwa kumchomoa staa na kipenzi cha Yanga ambaye tayari ameshaondoka Tanzania kwenda Morocco kuungana na miamba ya huko kwa mkataba wa…

Read More

Karibu tena Maximo changamoto zilezile

KIJIWE kimepata taarifa za uhakika kuwa, kuna uwezekano mkubwa aliyekuwa kocha kipenzi cha Watanzania Marcio Maximo akarejea nchini. Baada ya kuja mara ya kwanza kuinoa timu ya taifa, Taifa Stars na baadaye mara ya pili akaja kuifundisha Yanga, Maximo sasa anakuja kufanya kazi katika upande mwingine wa Jamhuri ya Muungano, yaani visiwa vya Zanzibar. Maximo…

Read More

Mlandege yajiweka pazuri mbio za ubingwa ZPL

MABINGWA wa Kombe la Mapinduzi, Mlandege imeendelea kuufukuzia ubingwa wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL), baada ya kuichapa Mwenge kwa bao 1-0 katika mechi iliyopigwa jana kwenye  Uwanja wa Mao A, mjini Unguja. Bao hilo pekee lililoipa Mlandege poinri tatu muhimu lilifungwa na Mussa Hassan dakika ya 63. Licha ya Mlandege kutoka na ushindi, lakini  ilionekana…

Read More