TUNU YATAIFA YATAKIWA KULINDWA STERGOMEAN
…… Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dkt. Stergomena Lawrence Tax amesema kuwa serikali ya awamu ya sita imeweza kufanikisha kulinda tunu za taifa kupitia Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma wakati akielezea mafanikio ya Wizara hiyo katika kipindi cha miaka minne chini ya…